Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hao ndo wajenz sasa,ila swali linabak waliwezaje!?Ninavyojua Sudan wana pyramids nyingi kuliko Egyptians
Na kulikuwa na Black Pharoah wa Sudan
Hawa black pharaoh walitawala Egypt enzi hizo
Kwa kweli hilo ndio a million dollar questionHao ndo wajenz sasa,ila swali linabak waliwezaje!?
Kwann pyramid zilizopo maeneo mengine kama hizo sa sudan hazijulikani sana kama pyramid za misriNinavyojua Sudan wana pyramids nyingi kuliko Egyptians
Na kulikuwa na Black Pharoah wa Sudan
Hawa black pharaoh walitawala Egypt enzi hizo
Hizo za misri ni za zamani sana na pia ni kubwa kuliko hizo zingineK
Kwann pyramid zilizopo maeneo mengine kama hizo sa sudan hazijulikani sana kama pyramid za misri
AsanteHizo za misri ni za zamani sana na pia ni kubwa kuliko hizo zingine
Pia kuna historia kubwa hapo kuanzia firauni
Yaani mpaka kwenye vitabu vya dini yumo
Nafikiri ndio sababu kubwa
Hao watu wa zamani kweli walikuwa na ujuzi na uwezo mkubwa sanaAsante
Vip kwa upande wako unasemaje kuhusu wajengaji wa hizo pyramid unafikir wanaweza kuwa binadamu wa kawaida? Ukizingatia ukubwa jinsi yalivyochongwa na uzito wa yale mawe binadamu sisi tunaweza yainua?
Weka picha hapa kwani mleta uzi kaenda Egypt, mbona mapicha kibao yametaradadi ndani ya uzi.Nenda Iringa utakuta viwanda vya kufua vyuma vilivyoachwa na mababu zetu
Mim nafikir kanisa katoliki lina majibu ya haya yoteHao watu wa zamani kweli walikuwa na ujuzi na uwezo mkubwa sana
Na ujenzi wa miji mingi sana duniani wamejenga kwa muda mrefu sana
Ukiangalia hata Inca Empire na huko Machu Pichu walivyojenga ni maajabu sana
Unajua watu wa zamani walikuwa na subra sana yaani wanaweza kujenga kitu kwa miaka hata Hamsini
Sasa sisi leo jengo linajengwa kwa miezi tu
Wao walijenga to last
Leo tunashuhudia majengo ya miaka na miaka na bado yana thamani na mazuri pia
Nilienda mji mmoja Uingereza kuna kanisa moja Gloucester lina miaka 1000 nilishangaa sana
Sasa fikiria lilijengwa kwa mda gani hilo ili likae miaka yote hii
Nafikiri na hawa watu labda walijenga pyramids kwa miaka mingi sana na sio mda mchache
Medieval structuresMim nafikir kanisa katoliki lina majibu ya haya yote
Ukiangalia makanisa mengi ya hapo zaman yamejengwa kwa mfumo ambao hauwezekaniki kwa sasa
Angalia hayo makanisa kizungu mkuti
Hii ndio shida ya wengi wenu mnaoamini mtu mweusi alikua bora zaidi ya races nyingine.
Huyo Mansa Musa huwezi kumfananisha na Elon Musk kwangu mimi Elon ni the best aliefanikiwa kwenye dunia yenye nyingi changamoto na a lot of competitors, matajiri wengi, rasilimali chache na a lot of elites wanaoweza kukosoa mawazo yako and mind you Elon sio kiongozi wa kisiasa/kidini.
Mkuu hatutukuzi watu weupe, andika ukweli ukishirikisha ubongo wako. Race nyeusi kuna mahali tunafeli nayo ni kukubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi. Badala yake sisi tunatupa lawama kwa watu weupe ati wao ndio sababu ya sisi kua hivi.
Ukiachana na hao kina Mansa Musa, kanda yetu hii ya Afrika mashariki na kati tuna jambo gani la kuthibitisha tulikua juu zaidi ya mzungu??
Hoja zenu mkiwa mnaitetea race hii mnabase sehemu ambazo sio zenu, Ethiopia, Misri na huko Aftika magharibi na kaskazini...
Ninyi wasukuma, waha, wafipa, wanyakyusa, wagogo, wamasai, wamang'ati , wahehe and the like kabla ya mkoloni mlikua wapi na mnafanya nini????
Mtakuja na hoja kua mmetoka huko kaskazini mkaja huku chini, je hamkuja na technolojia?
Tell them brother at least we speack the same language huyu mtu anaejiita Vishu Mtata medula yake imekula moshi mwingi i wish angevua hio miwan yake asome vzr kutanua medula yake..Egypt was the place that Alexander the Great went
He was so shocked at the mountains with black faces
Shot up they nose to impose what basically
Still goes on today, you see?
If the truth is told, the youth can grow
Ila kama kweli why wavunje pua za yake masanamu
Mna picha au uthibitisho wowote kua pua ilikua ni ya mtu mweusi??Wat
Tell them brother at least we speack the same language huyu mtu anaejiita Vishu Mtata medula yake imekula moshi mwingi i wish angevua hio miwan yake asome vzr kutanua medula yake..
IHii ndio shida ya wengi wenu mnaoamini mtu mweusi alikua bora zaidi ya races nyingine.
Huyo Mansa Musa huwezi kumfananisha na Elon Musk kwangu mimi Elon ni the best aliefanikiwa kwenye dunia yenye nyingi changamoto na a lot of competitors, matajiri wengi, rasilimali chache na a lot of elites wanaoweza kukosoa mawazo yako and mind you Elon sio kiongozi wa kisiasa/kidini.
Mkuu hatutukuzi watu weupe, andika ukweli ukishirikisha ubongo wako. Race nyeusi kuna mahali tunafeli nayo ni kukubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi. Badala yake sisi tunatupa lawama kwa watu weupe ati wao ndio sababu ya sisi kua hivi.
Ukiachana na hao kina Mansa Musa, kanda yetu hii ya Afrika mashariki na kati tuna jambo gani la kuthibitisha tulikua juu zaidi ya mzungu??
Hoja zenu mkiwa mnaitetea race hii mnabase sehemu ambazo sio zenu, Ethiopia, Misri na huko Aftika magharibi na kaskazini...
Ninyi wasukuma, waha, wafipa, wanyakyusa, wagogo, wamasai, wamang'ati , wahehe and the like kabla ya mkoloni mlikua wapi na mnafanya nini????
Mtakuja na hoja kua mmetoka huko kaskazini mkaja huku chini, je hamkuja na technolojia??
Na hayo pia yanathibitishwa na mzungu huyohuyo anaepigwa vita kwamba ni mkandamizaji wa historia za mtu mweusi ila ndo huyohuyo tena anatumiwa kututetea. Sijui ndo kung'ata huku unapuliza.Africa mashariki aligundulika binadamu wa kale sasa sijui alifikaje huku mitaa ya akili ndogo
I
Nalo nenooMfano hizo pyramid za Giza zingekuwa ugiriki, italy au middle east sidhani kama ishu ingekuwa kubwa ya nani aliyajengwa ila kwa kuwa yapo afrika bara la watu wanaonekana hawana akili wajinga, ishu inakuwa kubwa wanaanza kuja na theory nyingi ili ionekane muafrika hawezi kujenga majengo kama yale
Wapi na nani anafanya!!