Jumba Hil lote alfu nitoke madaraknkwa amaniKuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa
1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi
2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu
We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
hutapata majibuNamjua mtu mmoja aliwahi kufanya renovation kubwa ikulu ya magogoni ilikuwa enzi ya ben.
Huyo yupo na alipata pesa nzuri kwa hiyo kazi
Siwezi kusema kama walioweka msingi wapo au la ila nitalifanyia utafiti nitarudi kusema hapa.
Ninachojua ni kwamba kwa Kawaida 85% ya Wanaokuwa wanajenga Ikulu huwa wanatokea katika Construction Wings za Taasisi Nyeti kama za Usalama na Majeshi ambao tayari wanakuwa wameshapikwa Kimaadili na Miiko ya Kazi na Viapo vyao, hivyo huwa ni ngumu sana Kusaliti au Kuuwawa kama usemavyo kwani hata kuwepo Kwao hapo katika Ujenzi pia huwa wanakuwa wapo Kazini vile vile.Ni kweli mkuu huwa tunauwawa na kuzikwa hapo getini labda tumuulize popoma GENTAMYCINE wao kule Rwanda wanafanywaje
Fafanua.kuna hii na ile ya jamaa anayeweka msalaba juu ya ncha ya kanisa,kwamba lazima apige chini😢😢😢
yaani story ziko hivyo kwamba.Fafanua.