Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Umesema vyema. Lakini pia, wanapata wapi hii dhana ya uwakilishi kwenye combat dress?
Huwa kuna kikosi cha ujangiri kwenye mapori ya uhifadhi wanaitwa Game. Ni military forces wanakuwa trained mafunzo ya kijeshi kama nyongeza wanasoma zaidi ikolojia na uhifadhi.
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.
Hata ningekuwa mimi ndiye Rais wa jamhuri nisingevaa sare zisizo na hadhi
 
Kiranga aka mtoto wa upanga
Mbona Kuna wakati jeshi Waliwahi kutoa tamko kuhusu hili la Rais kuvaa Mavazi ya kijeshi
Kuna kanali mmoja nlimskia anasema, RAIS ndiyo amiri jeshi mkuu, Mavazi yote yake, vyeo vyote vyake "akitaka hata Leo aombe abandikwe cheo cha ufield Marshall yeye tu"

Basi kwa kauli hiyo ya JWTZ Miki nkabaki mdogo tu

Ova
Hebu leta hapa kama una nukuu au screen shot au short video...

Sidhani kama kuna uwezekano, tena wa Coloneal kusema vitu kama hivyo.. Sijawai kuona wala kusikia
 
Ni kweli maana gwanda hutisha wabadhirifu, wahalifu na mafisadi. Hao watanzania unaotaja ni kina nani? Maana unajumuisha wote kuwa wanatishika, kweli? Acheni uhuni jamaa kawakamata. Nyerere mwenyewe unayemnukuu kavaa magwanda sana.
Wabadhilifu gani mjomba?au hujasikia mabilioni yaliyopigwa kwenye korosho pamoja na kwamba jeshi lilisimamia zoezi?mafisadi unaowazungumzia ni hawa hawa wanaolipa vipande vya pesa na kuachiwa waendelee na maisha yao au kuna wengine?
 
Avae haya haya anayo yapenda lakini asiishie kuvaa tu afanye na kazi wafanyazo hao wanajeshi, sasa hivi kule Goma mauaji yamezidi ingependeza akaenda huko kujiunga na jeshi la umoja wa mataifa kutokomeza waasi wa ADF..
Kuna makamanda zaidi ya milioni rais akafanyeje?
Kama sisi tukileta umwambafy Congo,Rwanda,Burundi,Uganda na hata Kenya wanakaa chini.
Sema hatuko hivyo tunaogopa kugeuziwa kibao na wahisani
 
Kuna kitu naona watu wanaomkubali sana Rais hawaelewi,jamani hakuna kitu kisichokuwa na utaratibu hata kama wewe ni rais,hawa watu wanadhani ukiwa rais basi unaweza kujiamulia kufanya chochote unachojisikia/kitakachokujia akilini na kusiwe na shida kwakuwa wewe ni rais sidhani kama hii ni sawa,hao wanajeshi wenyewe wana utaratibu wa jinsi ya kuvaa hayo magwanda.kama uliwahi kumuona IGP Siro akikemea askari wake wanaovaa combat ndivyo sivyo au katika muktadha usiohusika.wanaoelewa utaratibu huwa wanavaa kutokana na mazingira au tukio linaloendana na uhusika lakini sio ukiamka tu ukijisikia kuvaa basi unavaa ingawa hauzuiwi na mtu kuvaa na ndio maana wanaojua utaratibu wanajizuia kuvaa tu bila sababu.
 
Eti hili nalo ni hoja ya kisiasa kwa wafuasi was chadema ambao hawajui hata naana ya vazi la jeshi la ulinzi na usalama (_jw tz),

Mkuu tambua rais anapovaa sare za jw ambayo ina rangi za ugoro =jenzi la magereza ,kaki = jeshi la polisi ,kuna kijani ,ambapo kuna jkt nk.akivaa hivyo basi tambua amevaa sare za majeshi yote ,yaani yeye ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote yaliyo inchini ,so akivaa eidha ugoro tu ambayo ni sare ya magereza itakuwa hajafuata protocalli
Umeandika wakati umezimia au?,kwahiyo hata inchi nyengine wakivaa hayo magwanda wanawakilsha,jkt,magereza na polisi?
 
Jeiwii linawakilisha majeshi yote na wewe...

Tanapa kijani
zimamoto nyekundu
magereza ugoro
polisi kaki
uhamiaji nyeusi

Kama unaziona hizo rangi kwenye gwanda ya JWTZ basi ujue ndio maana yake
umemaliza
 
kombati za jeshi linawakirisha majeshi yote kwenye kombati ile kuna blue ambayo ni uhamiaji kijani polisi nyekundu zimamoto ugoro magereza over
 
Producer aliyesababisha wimbo wa UNO wa Harmonize kufutwa YouTube, Atoa onyo kali kwa wasanii wanao-copy kazi zake
 
Jaman yy c ndo mtukufu sana wa majeshi yote au umeghafilika?
Avae hayo magwanda ili iweje? Mpate sababu mpya za kumnanga au?

Manake si kwamba akivaa sare za Magereza mtakuja hapa na kuanza kumpongeza....

Sanasana mtakuja na kuendeleza yale yale...’oh oneni huyu, sasa anavaa na sare za Magereza. Kaona zile za jeshi hazitoshi. Sasa anataka kuwa kamishna wa Magereza’

Tokeni hapa na unafiki wenu!
 
Kuna kitu naona watu wanaomkubali sana Rais hawaelewi,jamani hakuna kitu kisichokuwa na utaratibu hata kama wewe ni rais,hawa watu wanadhani ukiwa rais basi unaweza kujiamulia kufanya chochote unachojisikia/kitakachokujia akilini na kusiwe na shida kwakuwa wewe ni rais sidhani kama hii ni sawa,hao wanajeshi wenyewe wana utaratibu wa jinsi ya kuvaa hayo magwanda.kama uliwahi kumuona IGP Siro akikemea askari wake wanaovaa combat ndivyo sivyo au katika muktadha usiohusika.wanaoelewa utaratibu huwa wanavaa kutokana na mazingira au tukio linaloendana na uhusika lakini sio ukiamka tu ukijisikia kuvaa basi unavaa ingawa hauzuiwi na mtu kuvaa na ndio maana wanaojua utaratibu wanajizuia kuvaa tu bila sababu.
Magufuli kavunja katiba left, right and center.

Kavunja staha za urais left,right and center kwa maneno ma matendo.

Na bado wapiga zumari wake wanamtetea.

Walioamua kumtetea hata akifanya nini watatafuta sababu ya kumtetea.

Wanaopima mambo kwenye mizani washajua siku nyingi huyu hamnazo hafai kuwa rais.
 
Aiseee hebu punguza ukal kidogo kashasema yy hajaribiw
Kiranga,

Hata wajeda wenyewe huwa wana mavazi tofauti tofauti kwa ajili ya shughuli tofauti tofauti!

Wana zile sare za mashati ya vitambaa vyepesi na slacks zao ambazo huzivaa na dress shoes/ oxfords.

Wana hayo ma fatigues.

Pia wana tisheti zao ambazo huzivaa na suruali za fatigues.

Kuna sababu zake kuwa na hizo sare tofauti tofauti.

Sasa jamaa yeye huwa anatinga tu hayo ma fatigues bila hata kujali mazingira.

Sijui huwa anajiona komandoo akiwa kayavaa hayo????
 
huyu ni mkuu wa Majeshi mwenye amri ya juu sio mkuu wa jeshi kama la polisi
 
Nimeona nitoe ushauri tu ili kuweka usawa kati ya majeshi.

Nashauri kwamba, Rais aweke zamu ya kuvaa nguo za majeshi yote, kama ni jeshi la polisi anaweza kuamua kuvaa zile za khaki, au za FFU au za trafiki.

Pia anaweza akapanga kuvaa nguo za askari magereza na safari nyingine akavaa za uhamiaji.

Hii itafanya majeshi yote yajisikie yako sawa
 
Akivaa zile za traffic mtasema Rais anadhalilisha hadhi yake

Watanzania hamna jema
 
Back
Top Bottom