Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anhaa so opereshen mabeyo Walsingham kozi mwez gan mwaka jana sio wa kwqnza?
Ndio mwaka jana . itakuwa ajabu Kama mtu hauko kambini umeomba online unapaniki. sasa unapaniki na majina ya mtaani yanatoka mtandaoni . wenzenu wanasomewa wa kambini unapigwa panga unajiona hao ndio wanatakiwa wapaniki
 
Ifikie kipindi watu muache kutishana huku kuna watu mna uzoefu wa kuomba nafasi katika majeshi mbalimbali uhamiaji, magereza etc sasa umetumia anuani ya makao makuu majibu wawaletee kwenye sms kiholela hakuna hicho kitu

Lazima utoke mkeka acheni kutishwa
 
Hakuna mkeka ndiomana uliombwa namba ya simu.. mwaka jana mwezi wa tatu walituma maombi pia uliona kuna mkeka wowote Hakuna anaemtisha mtu ila uhalisia ndio ulivo subiri kwenye mwezi wa tatu utaona kwa millardayo vijana 3500 wahitimu mafunzo ya awali
 
Hahaha yaaan kwamb PDF iandaliwe kwaajili ya nani Afande haha ni mwendo wa simu tu hakuna PDF apo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…