Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Kwangu mimi binafsi (In my Humble Opinion) ingawa simpangii mtu nitashukuru na nitaona ni matumizi mazuri ya Kodi zetu kama Kiongozi Mkuu atatumia huo muda kutatua na kuunganisha wote na kuwaongoza kutatua Kero kuliko kutumia muda mwingi kujifanya anasikiliza (wakati popote pale anaweza kuzisikia na anazisikia) kwa kujifanya ndio mtendaji mkuu wakati akiondoka hapo hakuna kinachofanyika...

Yaani kufanya afanye kazi hata behind the scenes sio kuonekana anafanya kazi (kupiga siasa) wakati hakuna kinachofanyika zaidi ya propaganda.... (Atumie muda mwingi na hao wasaidizi wake kwa kuwafuatilia na kuwahoji na kwa kufanya mikutano lukuki ya tumepanga nini / tumefanya nini / tumekosea wapi / turekebishe wapi / tuanze kutenda tena...., (Continuous Improvement)

Usiseme kujifanya, marehemu ki ukweli tuliona alikua ana nia thabiti ya kusikiliza kero za wananchi wake popote walipo, he did it na moyo wake wote, he was passionate in serving his people , alikua na uchungu na nchi yake Ndio maana alikua hapendi ujinga, alikemea maovu na uzembe . Ni kweli marehemu alikua na mapungufu yake, ila mazuri yake anayo, tena mengi tu.

Msiba wake ni uthibitisho tosha kuwa marehemu alikua ni kipenzi cha watu , wananchi wake aliowatumikia walimzika kwa heshima mno, watu walilia kwa uchungu kwa sababu wanajua hawawezi kupata raisi kama magufuli na Ndio ukweli

Kwa sasa hivi hawawezi kutudanganya tena, tunajua tofauti ya kiongozi bora na bora kiongozi.

Mama asipojifunza mazuri kutoka kwa mtangulizi wake, atapata shida sana, moja wapo ikiwa ni hiyo y kusikiliza kero za wananchi
 
Usiseme kujifanya, marehemu ki ukweli tuliona alikua ana nia thabiti ya kusikiliza kero za wananchi wake popote walipo, he did it na moyo wake wote, he was passionate in serving his people , alikua na uchungu na nchi yake Ndio maana alikua hapendi ujinga, alikemea maovu na uzembe . Ni kweli marehemu alikua na mapungufu yake, ila mazuri yake anayo, tena mengi tu.

Msiba wake ni uthibitisho tosha kuwa marehemu alikua ni kipenzi cha watu , wananchi wake aliowatumikia walimzika kwa heshima mno, watu walilia kwa uchungu kwa sababu wanajua hawawezi kupata raisi kama magufuli na Ndio ukweli

Kwa sasa hivi hawawezi kutudanganya tena, tunajua tofauti ya kiongozi bora na bora kiongozi.

Mama asipojifunza mazuri kutoka kwa mtangulizi wake, atapata shida sana, moja wapo ikiwa ni hiyo y kusikiliza kero za wananchi
Nani kamzungumzia marehemu hapa ? (wanasiasa wote ni wanafiki na wapiga siasa) Ni rahisi sana kujionesha unafanya kazi kuliko kufanya kazi... Na kwa suala hili itakuwa umeongeza tija maradufu kufanya mikutano ya mara kwa mara na watendaji na wasaidizi kuliko kukutana na wananchi directly....

Ni kweli kuna mambo aliyofanya Magufuli ukiongeza na Propaganda itampa sana shida mama (Sababu mengi yalikuwa hayana uhalisia na kulishana matango pori); Mfano pesa zote tunazotumia ni zetu / Machinga ruksa kuweka biashara zao popote / shida nyingi ni wivu wa mabeberu na tusiwaamini (wakati tunawaomba) ndege zinaingiza pato (makusanyo yameonzekeza maradufu (ila kumbe makusanyo hayo mengine ni kwa kutumia mabavu, wala sio sustainbale) n.k.

Kwahio tukirudi kwenye uhalisia itaonekana mama hafanyi kazi ila kumbe mengine tuliyodhani yalikuwa mazuri ilikuwa ni changa la macho
 
screenshot_2023-09-18-15-13-02-1-png.2753876
 
Back
Top Bottom