jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Sidhani kama quran ni historia .ila umenithibitishia kuwa bibilia ni historia.
Weka moja wapo
π€£π€£π€£π€£Kurwani na andazi na chagua andazi.
inawezekana vipi nabii wa mungu akakosa nyumba ya kulala.Kurwani na andazi na chagua andazi.
inawezekana vipi nabii wa mungu akakosa nyumba ya kulala.
Credit :sheikh mazinge
Jikite kwenye mada,inawezekana vipi nabii wa mungu akakosa nyumba ya kulala.
Credit :sheikh mazinge
Ndio huyu mnayemuita nabii isa au unazungumzia Yesu yupi?mbona unanichanganya.
Huyo ni yesu wa biblia ambaye kuna wakati anakuwa mungu,kuna wakati anakuwa mwana wa mungu.Ndio huyu mnayemuita nabii isa au unazungumzia Yesu yupi?mbona unanichanganya.
Lete factsWewe nani alikwambia Wafilist ni wapalestina? Mbona mnajitungia historia za kuchangamsha genge?
Ahaa unamjua Paulo?Jikite kwenye mada,
Ni lini wafilisti/Wapalestina walianza Rasmi kutahiriwa?
Tujikite kwenye mada husikaπKurwani na andazi na chagua andazi.
Ndio. Unajenga HOJA Gani kumhusisha na mada hapo juu?Ahaa unamjua Paulo?
Ahaa unamjua Paulo?
anasemaje?Ndio. Unajenga HOJA Gani kumhusisha na mada hapo juu?
AΓΏa 19Aliitwa sauli alikua myahudi aliyepambana na ukristo hadi kufikia kuwauwa wakristo,ila alipata neema ya kristo akakombolewa akaongoka akawa mtume na akabatizwa na kuitwa paulo ndiye aliye ueneza ukristo sehemu nyingi zaidi,hii ni storia kwa mujibu wa vitabu vya injili.
Kuna lingine unataka kujua.
Usipige chenga.anasemaje?
Usipige chenga.
Jibu swali la HOJA hapo juu,
Ni Lini wafilisti/Wapalestina walianza Rasmi kutahiriwa?
Paulo anaongea lingine halihusiani na mada.
Jibu HOJA basi!!Hizistori za nyie mazinga huwa zinafurahisha sana πππππππ
Yaan hata mnachojadili nyie wenyewe hamkielewi, kweli nyie mmepotea ππππππ
Mzee emoji zangu haziondoi hata nukta ya uanaume wangu simu yng naandika navyojiskia nyambaaaaffffJibu HOJA basi!!
Pia epuka kutumia emoj nyingi ikiwa ni Mwanaume uliyetahuriwa!!