Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Dodge ndio ndinga la ndoto zangu sijui lini nitazipata?!View attachment 1421839
Mkuu kumbe na we unamskiliza huyu jamaa?
Wewe Kama Mimi tu GMC Yukon Suburban .au Cheveloret Suburban zile Gari za kibabe sana aisee ningekuwa mbunge ningezitumia hizo .Mkuu kumbe na we unamskiliza huyu jamaa?
Hiyo nyimbo ndio the best, mimi na kijana wangu tunaipenda balaa.
Napenda pale Koffi anaposhuka kwenye gari halafu kuna mlio wa helcopta kwa mbali.
GMC ni bonge la mashine.
Range lover vellar.Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.
Mimi ni hizi
1) BMW X6
2) Range Rover Vorgue...
Check hapa: New & Used Cars for Sale - Auto Trader UKNaitaka XC 90 You Mkuu ya mwaka 2011. Bei zake zikoje mpaka unaipata?
Huku kuna magari bei rahisi sana mpaka naogopa.
[emoji91]Ford Mustang shelby gt 500
Ford Mustang shelby gt 500
John wicks car[emoji91]
Unamaanisha huko Auto trader?Huku kuna magari bei rahisi sana mpaka naogopa.
Benz gls 350 4Matic inafika mpaka £35,000.
View attachment 1495685
Expensive ukilinganisha na gari zipi? Maana ukilinganisha na luxury car brands, Volvo ni the cheapest.
Volvo wapo conscious na mazingira sana. Gari nyingi kama si zote za kuanzia 2015 kuja juu, CC ni ndogo ukilinganisha na washindani wake. Kwa mfano XC90 sasa zinatoka na CC 1969 na 4 cylinders. Ila zinakuwa na horsepower ya 232 na 0-60 in 7.4 seconds. Hii ni diesel engine.
Kwa wastani mafuta ni kati ya 12-13 litres/km.
Petrol engines ndiyo utazipenda zaidi; 1969cc, 4 cylinder, 401 horsepower. Kuna hizi mpya Twin engine, T8 (hybrid).
Na sifa kubwa za Volvo ni safety na reliability.
XC90 lipo comfortable balaa barabarani. Ni nzuri kama una familia kubwa kwa kuwa ni 7 seater, na hadi siti za nyuma zipo comfortable.
Cheki review ya carwow ya XC90
Review ya twin engine t8
Na carwow comparative review ya 7 seaters: XC90, Q7 na Discovery ya 2018
Go for it. Sema mimi siyo mpenzi wa petrol engine. Napenda diesel engine inavyolia. Toka nimetumia XC90, sitaki gari nyingine kabisa. Labda siku nikiweza kununua RS6 tu.
V8Tufanye ndio umetoboa maisha tobotobo una mawe sana, ni gari gani nne uta-Prefer kununua unazozikubali.
Mimi ni hizi...
Niliona benzi flani bei ipo chini mpaka unajiuliza mara mbili if this is possible.Unamaanisha huko Auto trader?
Bei zinategemeana na vitu kama mileages na gari kama lilishawahi kupata ajali.
Na kama unajua, wakati huu wa summer watu wanauza vitu vyao ili wapate pesa ya vacation mazee!
[emoji23][emoji23]Staret, passo, vits, bito na suzuzuki samray. Ivi ulisema nne naona nimezidisha moja basi tutoe ist.