Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

Kama umeona video ya koffi olomide ( papa ngwasuma) lipo mle

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe na we unamskiliza huyu jamaa?
Hiyo nyimbo ndio the best, mimi na kijana wangu tunaipenda balaa.
Napenda pale Koffi anaposhuka kwenye gari halafu kuna mlio wa helcopta kwa mbali.
GMC ni bonge la mashine.
 
Mkuu kumbe na we unamskiliza huyu jamaa?
Hiyo nyimbo ndio the best, mimi na kijana wangu tunaipenda balaa.
Napenda pale Koffi anaposhuka kwenye gari halafu kuna mlio wa helcopta kwa mbali.
GMC ni bonge la mashine.
Wewe Kama Mimi tu GMC Yukon Suburban .au Cheveloret Suburban zile Gari za kibabe sana aisee ningekuwa mbunge ningezitumia hizo .

Pia kibongo bongo nawakubali sana NIssam Dualis na Nissan Extrail second edition zimetulia sana

Pia nalikubali Volkswagen Toureg

Na mwisho Ningevuta SUV ya Mercedes Benz yoyote jamaa wanajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kuna magari bei rahisi sana mpaka naogopa.

Benz gls 350 4Matic inafika mpaka £35,000.

47a5642639d7405c93b2f112f9663465.jpg
 
Mkuu nipe ABC kidogo jjuu ya Volvo V40 ya 2003/204.. kuna mwamba hapa kakwama majanga kama yote sasa kabla sijamnusuru naomba kujua ni gari yenye characteristics gani, ni 1.5L.
Expensive ukilinganisha na gari zipi? Maana ukilinganisha na luxury car brands, Volvo ni the cheapest.

Volvo wapo conscious na mazingira sana. Gari nyingi kama si zote za kuanzia 2015 kuja juu, CC ni ndogo ukilinganisha na washindani wake. Kwa mfano XC90 sasa zinatoka na CC 1969 na 4 cylinders. Ila zinakuwa na horsepower ya 232 na 0-60 in 7.4 seconds. Hii ni diesel engine.

Kwa wastani mafuta ni kati ya 12-13 litres/km.

Petrol engines ndiyo utazipenda zaidi; 1969cc, 4 cylinder, 401 horsepower. Kuna hizi mpya Twin engine, T8 (hybrid).

Na sifa kubwa za Volvo ni safety na reliability.
XC90 lipo comfortable balaa barabarani. Ni nzuri kama una familia kubwa kwa kuwa ni 7 seater, na hadi siti za nyuma zipo comfortable.

Cheki review ya carwow ya XC90

Review ya twin engine t8

Na carwow comparative review ya 7 seaters: XC90, Q7 na Discovery ya 2018

Go for it. Sema mimi siyo mpenzi wa petrol engine. Napenda diesel engine inavyolia. Toka nimetumia XC90, sitaki gari nyingine kabisa. Labda siku nikiweza kununua RS6 tu.
 
List yangu,
1. SUV kwa long safari, hapa Mazda CX-5, diesel itahusika
2. Mizunguko mjini, Toyota aqua hybrid, cc1400 safi kabisa
3. Ujasiliamali kirikuu tu kinatosha
4. Family na adventure, napenda sana vw combi, classic car of all time
 
Unamaanisha huko Auto trader?
Bei zinategemeana na vitu kama mileages na gari kama lilishawahi kupata ajali.
Na kama unajua, wakati huu wa summer watu wanauza vitu vyao ili wapate pesa ya vacation mazee!
Niliona benzi flani bei ipo chini mpaka unajiuliza mara mbili if this is possible.
 
Back
Top Bottom