Soon it will be revokedHe has been given already!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon it will be revokedHe has been given already!
Zungu kw gram 23 ni sawa uporaji wa bunduki ? Uporaji wa silaha ni ujambaziMdude ni zungu la unga lazima apewe ulinzi mkali.
It will be revoked by you ass??!!Soon it will be revoked
Eti kapata nyapala (sijui ndio inaandikwa hivo) mwenye hela....😂😂😂The goon, extortionist, rapist and burglar Sabaya should not be given special treatment in jail.
Hahaha!Eti kapata nyapala (sijui ndio inaandikwa hivo) mwenye hela....😂😂😂
Sidhani kama Kuna jambazi aliyeperform kama huyu kwa baraka mwendazakeSasa Sabaya ni jambazi
Mungu WANGU yupo up to date Sana na ni yule yule ambae ni alfa na OmegaKumbe una miungu yako? Sawa mkuu!
Sahihi kabisaUsijali Mkuu! Nguvu ya soda tu hiyo! Watachoka tu!
Alikufanyaje mkuu??maana kwahiyo nadhiri ni balaaMkuu usiangaike Sana mungu yupo, binafsi Sabaya nilisha mkabidhi mikononi bwana, awe gerezani au nje atashughulika nae mpaka kiama, na ilishakua ,iwe wazi tu malipo atayalipa Hapa duniani iwe mvua au jua ,mungu wangu yupo up to date sana
Msamehe tu mkuuMkuu usiangaike Sana mungu yupo, binafsi Sabaya nilisha mkabidhi mikononi bwana, awe gerezani au nje atashughulika nae mpaka kiama, na ilishakua ,iwe wazi tu malipo atayalipa Hapa duniani iwe mvua au jua ,mungu wangu yupo up to date sana
Thibitisha isije kuwa maneno yako tu baada ya kuvimbiwa mihogo.Mahabusu anaruhusiwa kupelekewa chakula na ndugu zake kaka, hata mfungwa Kama ndugu zako Wana uwezo huo ni ruksa