princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hee mkuu mbona jazba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana uko tayari kwenda Kumstarehesha Ki Ngono Sabaya Jela ukipewa NafasiWewe wasema kwangu bado ni Mheshimiwa tu.
Njoo kekoThibitisha isije kuwa maneno yako tu baada ya kuvimbiwa mihogo.
Mkuu tunasema binadam tuko sawa mbele za bwana, so atendewalo yoyote ,Kama kulawiti,kubaka ,kufilisi, kuuwa direct au indirect ,lazima matendo tuyachukie bila kujali nani yamemkuta ilihali umemzuru binadam mwenzangu , SABAYA kayatenda yote KWA kivuli Cha ukuu wa WILAYAAlikufanyaje mkuu??maana kwahiyo nadhiri ni balaa
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Wajinga sana nyie.Mlizoea uhuni wa JPM.Mdude ni zungu la unga lazima apewe ulinzi mkali.
Mbona mahabusu kupelekewa misosi toka nyumbani ni kawaida tu na siyo kwamba imeanzaia kwa Sabaya lakini kwa chuki zako unaona kwamba mambo haya yameanzia kwa Sabaya. Na kwa taarifa yako ndani ya Magereza kuna VIP na Sabaya atakuwaanaishi room VIP na hilo sema sasa. Unajua kwa nini Mahabusu anafungwa pingu? Siku ya hukumu ya Sabaya mtaumbuka.Ndugu wa Sabaya pamoja na marafiki zake na watu wa chama wanajiwekea utaratibu wa kumhudumia mtuhumiwa aliyeko mahabusu kinyume kabisa na taratibu na tunaamini Kuna usawa? Aliyeruhusu mpishano wa misosi kutoka mtaani kwenda Kisongo ni nani?
Aliyeruhusu Sabaya asifungwe pingu toka gerezani hadi mahakamani ni Nani? Kwa Nini amekuwa akipewa treatment tofauti na wenzake? Wanahoji wananchi wanaopewa story za Sabaya na ndugu zake hapa Mahakama ya Arusha.
Minong'ono hii inanikumbusha wakati ule matajiri flani walipokamatwa na simu gereza moja huko DSM. Je, tumerejesha ubaguzi wa kiuchumi na kisiasa gerezani?
Kumbe ni utaratibu mzuri snMahabusu anapelekewa chakula uzuri tu, tena mkishaandika kua mtakua mnapeleka chakula, anaondolewa kwenye chakula cha mahabusu, kama siku moja hamjapeleka inamaana ndugu yenu analala na njaa.
Hahahaaa hivi Ole Saidimu wa JF kapotelea wapi?? Member wakongwe hawa umenikumbushaOlesadimu Sabayaah 😅😅😅
Kwa akili yako ya Kinyumbu si shangai kutoa upupu kama huo!!Inaonekana uko tayari kwenda Kumstarehesha Ki Ngono Sabaya Jela ukipewa Nafasi