National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
- Thread starter
-
- #61
Mama mzuri sana wewe. Mungu awatunze binti zako 😍Ninapotoa pesa kwa ajili ya mabinti zangu huwa najisikia furaha sana. Huwa najihisi kama napaa vile....namuomba Mungu anibariki sana ili niendelew kufurahia kutoa kwa ajili yao.
moyo wa kifalme huu.. salute kwako bossKutembelea wagonjwa na watoto yatima moyo wangu unakunjuka kabisa
misosi muhimu mkuu ... lazima tujenge afyaKuwapa wazazi wangu...
Kula msosi mzuri (wale wapenda misosi tujuane,lol)
Amina, asante sana.Mama mzuri sana wewe. Mungu awatunze binti zako [emoji7]
Aaah wapi mkuu,[emoji28][emoji28][emoji28] nao wanakukubali sana mtu wao wa mguvu
Asante chief Mungu atupe moyo wa upendeleo zaidi juu ya haya makundi ikitegemea na baraka za wazazimoyo wa kifalme huu.. salute kwako boss
Nikimsaidia pesa Mama yangu huwa napata amani na furaha sana
moyo wa ki fatherhood huu mwaisaaa... ipo njema sanaa... long trip huwa unyamaa sanaa... kama nyuma wapo Antonnia na Bantu Lady huku mbakula mawimbo ya country yale ya hatariiiii... juuu umefungua paaa ( sonroof.. ) unyamaaa sana yaniiiiAaah wapi mkuu,
Napenda long trips, napenda niweke mziki wangu wa gospel huku naenda zangu mkoa, sina haraka na mtu njiani...napenda sana
Napenda kujenga, napenda sana...yani if wishes were horses ningejenga kila ninapoweza, ningewekeza kila pesa yangu kwa nyumba, I like house designs.
Napenda sana watoto, yaani hata nikiwa job nikiwakumbuka madogo I smile, nataka nao wanipende sana coz all I do is for them.
Mungu atupe uvumilivu zaidi maana maombi Yao juu yetu ni baraka toshaNikimsaidia pesa Mama yangu huwa napata amani
Amen. Hakika na huu ndio upendo ambao Mungu anautaka.. upendo wa vitendo..safi sana mkuu.. Mungu atusadie tuwe waaminifu kwa baraka zake atupazo, tuzitumie vizuriAsante chief Mungu atupe moyo wa upendeleo zaidi juu ya haya makundi ikitegemea na baraka za wazazi
Safii sana cha ukorofi.. una moyo mzuri sana we dogo ✌️✌️Nikimsaidia pesa Mama yangu huwa napata amani
🤣🤣🤣🤣mkuu nimeanza kuwa serious unarudi kutania. Wakae nyuma au mbele mkuu? Antonnia akae mbele ili nikinyoosha mkono na mini skirt yake tuone inakuwaje🤣🤣🤣🤣moyo wa ki fatherhood huu mwaisaaa... ipo njema sanaa... long trip huwa unyamaa sanaa... kama nyuma wapo Antonnia na Bantu Lady huku mbakula mawimbo ya country yale ya hatariiiii... juuu umefungua paaa ( sonroof.. ) unyamaaa sana yaniiii
Amen🙏Amen. Hakika na huu ndio upendo ambao Mungu anautaka.. upendo wa vitendo..safi sana mkuu.. Mungu atusadie tuwe waaminifu kwa baraka zake atupazo, tuzitumie vizuri
Moja ya kitu kinanipa amani na furaha nikitatua shida ya Mama ❤️Mungu atupe uvumilivu zaidi maana maombi Yao juu yetu ni baraka tosha
Jambo jema na furaha na baraka hutawala zaidi katika mioyo yetuMoja ya kitu kinanipa amani na furaha nikitatua shida ya Mama ❤️