Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

Siku izi watoto hawana mama walezi wazuri maadiri yanazidi kuporomoka sio kama tulivyo lelewa kipindi kile hii inapelekea kila mtoto kufanya anachojiskia maana malezi ni butu😐
 
Siku izi watoto hawana mama walezi wazuri maadiri yanazidi kuporomoka sio kama tulivyo lelewa kipindi kile hii inapelekea kila mtoto kufanya anachojiskia maana malezi ni butu😐
hii inasikitisha sana, ambao tumeona hili tujitahidi mkuu kulea wanetu katika njia sahihi
 
Dah inakua ngumu kidogo hasa pale kama mwanaume umezaa na wanawake tofauti tofautii unazani apo nguvu yako utaweza kuielekwza upande gani chief😎
hili tatizo sana wanaume kuzalisha na kacha, tabia mbaya hii.. Dada zetu Mungu awape akili za ziada
 
wanapenda ufahari siku hizi..
Sasa kwa Maisha ya Leo kila kitu hutazamwa na mwanau unadhani iyo ndoa itakua kwenye usalama wakutosha ndio maana tunaongoza kwa kufs na mawazo zaidi 😂kwenye ndoa umeingia ukiwa rijali inspita miaka miwili tu mme mbegu hazina nguvu yakutungisha we unadhani nini hupelekea Hali hiyo kama sio mawazo
 
hili tatizo sana wanaume kuzalisha na kacha, tabia mbaya hii.. Dada zetu Mungu awape akili za ziada
😂😂😂Chief kwa Maisha ya Leo wanawake wapenda Vicent wamekua wengi tofauti na kipindi kile unsmfukuzia mwanamke miezi mingi zaidi na wanawake kuzaa hovyo haikuepo lkn saiv unamfuata mtoto wa kike unauliza dau lako ngapi anakupa ofer yake imeisha 😂😂
 
Mi bana napenda kuwapa zawadi Hawa watoto kuanzia darasa la 4 kwenda chini Hadi la kwanza Huwa napata Amani make Huwa naona kabisa Shukraan yao inatoka moyoni kabisa.
 
Back
Top Bottom