Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

Naona comments za wengi mnakubaliana na MATENDO 20:35

Matendo Ya Mitume 20:35​

Neno: Bibilia Takatifu​

35 Katika kila jambo nimewaonyesha kwamba kwa kufanya kazi kwa bidii mtaweza kuwasaidia walio dhaifu, mkikumbuka maneno aliyosema Bwana Yesu kwamba, β€˜Kuna baraka kubwa zaidi katika kutoa kuliko kupokea.”’
 
...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…