Ni mambo gani yanakwamisha safari yako ya mafanikio?

Ni mambo gani yanakwamisha safari yako ya mafanikio?

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako,

Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia kuwa Kuna baadhi ya vitu au watu ni chanzo Cha kutuchelewesha au kuwa Kama vizingiti katika safari ya mafanikio.

Je, ni Mambo, vitu, au watu gani unahisi wanakuzuia au kukuchelewesha kuelekea safari yako ya kukamilisha Mambo yako.
Screenshot_20230224-022427_1.jpg
 
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako,
Nami Kama mwana harakati katika...
Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara.

Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
 
Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara. Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara. Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
Mkuu umeongea kwa uchungu sana,
 
Back
Top Bottom