dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
ilikua wanawake miaka ya 2019 kurudi nyuma
ila sa hivi hapana aisee
Thank You Abdu Nondo
ila sa hivi hapana aisee
Thank You Abdu Nondo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu tra wana husika vipi na kukwama kwako??t.r.a
Unapewa unapopataHuwa unanipa sio
Nakuona mwenyekiti wa chama Cha kumwaga nje, na vibali vya kujichukuliaa sheria mkononi 😂😂ilikua wanawake miaka ya 2019 kurudi nyuma
ila sa hivi hapana aisee
Thank You Abdu Nondo
Anaitwa Bakari NONDO Mwam-NYETOilikua wanawake miaka ya 2019 kurudi nyuma
ila sa hivi hapana aisee
Thank You Abdu Nondo
Naam NaamNakuona mwenyekiti wa chama Cha kumwaga nje, na vibali vya kujichukuliaa sheria mkononi 😂😂
🤣 🤣 🤣 AhsanteAnaitwa Bakari NONDO Mwam-NYETO
Yaani kiufupi unapenda ule mlio wa krr na ac pale atm😂😂Kutokuwa na nidhamu na pesa, sina nidhamu kabisa kwenye swala la pesa, nazitumia tumia tu bila mipango aagrrr
Mkuu inauma sanaa mpaka mtu unaamua kutomuonea mtu huruma tena.Mkuu umeongea kwa uchungu sana,
Mkuuu tumia super glue, utanishukuru😂😂😂🤣 🤣 🤣 Ahsante
Wanakatisha sana tamaa mkuu Ila ndio binadamu hao tuishi nao tu hivyo hivyo,Mkuu inauma sanaa mpaka mtu unaamua kutomuonea mtu huruma tena.
super glue noma mzee 😅 😅 😅Mkuuu tumia super glue, utanishukuru😂😂😂
Mkuu moja Kati ya mambo niliyojifunza Sasa ni 👉never trust anybody, even your own decisions.Mkuu inauma sanaa mpaka mtu unaamua kutomuonea mtu huruma tena.
Acha uoga, tunakutegemea ulete mrejesho😂😂super glue noma mzee 😅 😅 😅
Oa Sasa mkuu, ili uachane na kubeba nuksi na mikosi au magonjwa ya hovyo.Ngono zembe!
Kuwa makini, usije aga dunia mkuuCastle light bariiiid ***** Kama walinirogea humu sometimes nanywea na dawa
It’s very challenging...Kuao nisawa na kujitia kitanzi kwa haya maisha ya sasa...Oa Sasa mkuu, ili uachane na kubeba nuksi na mikosi au magonjwa ya hovyo.
Alichoongea ni kweli kabisa na inauma. Kuna mtu alinipiga tukio toka November mwaka Jana mpaka Sasa sijapona machungu na nimeahidi nikimpata atakuwa funzo na Kwa wengine.Mkuu umeongea kwa uchungu sana,