Mjinga sana mimi
Member
- Aug 18, 2022
- 96
- 331
Kwani mafanikio ndo yapoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tatizo sio kuzaliwa masikini, shida ni kufa masikini.Initial faults I mean ule umaskini wa mwanzo wa familia ndio barrier kubwa sana kwangu mimi
Dah 20m,hata nikifanya value ya kikampuni changu. Haijafika huko🙊😂Hahahah msikate tamaa maana nauli yangu mimi magonga yake si chini ya 20M
MadeniWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako,
Nami Kama mwana harakati katika utafitaji nikajiwazia kuwa Kuna baadhi ya vitu au watu ni chanzo Cha kutuchelewesha au kuwa Kama vizingiti katika safari ya mafanikio.
Je, ni Mambo, vitu, au watu gani unahisi wanakuzuia au kukuchelewesha kuelekea safari yako ya kukamilisha Mambo yako.View attachment 2632588
Naomba connction hyo unisaidie nipate chochote kitu[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
Wee tumia tuu shida hiko wapi mr akipatikana yeye ndio atakuwa na nidhamuKutokuwa na nidhamu na pesa, sina nidhamu kabisa kwenye swala la pesa, nazitumia tumia tu bila mipango aagrrr
SI lazima ulipe pesa kwa Sasa, ila unaeza omba bargaining ya muda I'll ujipangeMadeni
Mkuu acha kumjaza ujinga, maisha yake ni juu yake.Wee tumia tuu shida hiko wapi mr akipatikana yeye ndio atakuwa na nidhamu
Sasa ujinga gini tena bwana businessman? Yeye atumie tuu atakapo olewa husband sii anamidu kila kituMkuu acha kumjaza ujinga, maisha yake ni juu yake.
Vipi kuhusu familia na ndugu wanaomtegemea Evelyn Salt 🤔🤔, na wao wamsubirie shemeji yao😂😂Sasa ujinga gini tena bwana businessman? Yeye atumie tuu atakapo olewa husband sii anamidu kila kitu
Sasa kwani ukioa umeoa mke au ndio unatakiwa kuhudumia familia nzima? Hao wengine sii wanapambana na hali yao. Wakuolewa aolewe wakuoa aoeVipi kuhusu familia na ndugu wanaomtegemea Evelyn Salt 🤔🤔, na wao wamsubirie shemeji yao😂😂
Namaanisha hao ndugu wanaomtegemea Evelyn Salt kabla hajaolewa, we unamshauri atumie pesa hovyo🤔🤔.Sasa kwani ukioa umeoa mke au ndio unatakiwa kuhudumia familia nzima? Hao wengine sii wanapambana na hali yao. Wakuolewa aolewe wakuoa aoe
Kutumia pesa hobyo kivipi kwani yeye sii anamwagilia moyo.Namaanisha hao ndugu wanaomtegemea Evelyn Salt kabla hajaolewa, we unamshauri atumie pesa hovyo🤔🤔.
Badala ya kuwekeza🙊
Mkuu SI unaoa, ili uondokane na uzinzi + kupoteza pesa hovyo😂Wanawake, na Starehe.
Oa kakaa, au ndo bachelor for life😂😂Mksambwanda hii inamaloza hela yote jamani
Afu one siku, awe ana ulilia Moto au sio😂😂Kutumia pesa hobyo kivipi kwani yeye sii anamwagilia moyo.