Ni mambo gani yanakwamisha safari yako ya mafanikio?

Ni mambo gani yanakwamisha safari yako ya mafanikio?

Hakuna kinacho nizuia starehe yangu ni kunywa pepsi tu 1 baada ya siku mbili, siyo chalii wa madem wala vilevi ni suala la muda tu nataka niibadilishe historia kwa mapenzi ya Mungu
Hakika bro, tunastahili mafanikio mkuu.
 
Kinachonichelewesha ni kujipenda kupita kiasi, kuna mda ili upate pesa za kutisha inabidi uhatarishe ata maisha yako kwangu mimi hilo litanichelewesha sana.
 
Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara.

Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
Jaribu kuishi nao kama wafanya kazi walipe stahiki zao kata mazoea ukiona hakufai ww ndio boss kata mawasiliano na kata mrija wa kazi akafie mbele.

Mimi kuna madogo walinizingua sana kila nikileta mzigo wanaiba wanauza kwa jirani aafu bei ya kutupa imagine unaagiza vifaa india ili upate faida nzuri na wao wanaiba usipokua makini faida unaiona ila kuna sehemu imeshapungua sio faida halisi. Nikajifunza kuwa na roho nzuri huruma zinaponza sana nikaanza kuwa katili asubuhi nikifika nishakula ndumu zangu nawachachafya mpka wakaacha kazi wenyewe maana walikua wanapigika hata wakiiba sioni hasara. Now nipo na madogo wanaojielewa angalau kila mmoja anaplan jambo lake majuzi mmoja kaja na hela nusu ya bajaji nikamdhamini akanunua bajaji mpya kabakiza hela kidogo amalize lakini yote hayo yanakuja baada ya kuwa nunda na wafanyakazi wanaelewa sana wanajitoa tu ufahamu
 
Kiukwel hakuna kinachonicheleweshaa maana siwezi shindana na mudaaa...

Maàna ukishindana na muda utakuacha tuu..

Naishi nilipo na na enjoy japo Kwa nafac hii niliyopo...


ISHI KWA NAFAC YAKO ACHA MBWEMBE .....
 
Kikwazo kikubwa kwangu ilikua wafanyakazi na TIHARAHEI yaani nishapambana nao mpka wakiniona wanacheka tu. Kiufupi kila biashara ina changamoto lakini ukizipita mambo yakaendelea ni kipimo cha ukomavu wako.
 
Kwangu mimi binafsi ni wanawake tu 🫶[emoji2534] naomba sana MUNGU huu mtihani uliomshinda Adam na Samson niushinde kwa kweli, maana nikionaga hips alafu zile ambazo laini laini yaan hips rojo rojo na chuchu saa 9 [emoji80] aisee hapo ndio basi tena nimekwisha
 
Kwangu mimi binafsi ni wanawake tu 🫶[emoji2534] naomba sana MUNGU huu mtihani uliomshinda Adam na Samson niushinde kwa kweli, maana nikionaga hips alafu zile ambazo laini laini yaan hips rojo rojo na chuchu saa 9 [emoji80] aisee hapo ndio basi tena nimekwisha
Kama watumishi wa mungu aliozungumza nao katika ndoto walifeli ndo tukawe wewe na mimi tunaozungumza na mungu kupitia mchungaji mackenzie hapa hakuna kupona tusonge mbele labda tutakutana na upepo wa kisulisuli
 
Back
Top Bottom