Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako,
Nami Kama mwana harakati katika...
Mkuuu hiyo safari umemalizaa? Basi tambua bado uko njianiii mkuuSafari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi...
Mambo yanayo kwamisha yanatofautiana kati ya me na ke na kwa me vikwazo ni vingi akiwamo ke mwenyewe.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako,
Nami Kama mwana harakati katika utafitaji...
SI uiache Sasa mkuuPombe
SI Una viacha tu mkuu, au hapo kwa ke si uoe jomba😂🤔Ke, pombe, tozo, wizi
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara. Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
Mkuu safari tunaendelea haina mwisho mpaka tuage dunia ila chagamoto kubwa ni wafanya kazi wetu na marafiki zetu.Mkuuu hiyo safari umemalizaa???, Basi tambua bado uko njianiii mkuu
Hahaha..SI Una viacha tu mkuu, au hapo kwa ke si uoe jomba😂🤔
Mkuu umeongea kwa uchungu sana,Safari tulisha anza kitambo, sema chagamoto gani tumekutana nazo na tukapambana nazo, kwangu binafsi, watumishi wangu sio waminifu kila mtu anawaza kukuibia au kukuletea matatizo ili ukwame au upate hasara. Ndugu zetu masikini ni shida wana roho mbaya ndo maana wengi wanakufa hivo hivo na umasikini mtu umempa ajira apate riziki ila anataka kukuumiza au kukuua.
Si unapewa bure we tumia tumia tu utapewa tena bure bure,Kutokuwa na nidhamu na pesa, sina nidhamu kabisa kwenye swala la pesa, nazitumia tumia tu bila mipango aagrrr
Mksambwanda hii inamaloza hela yote jamaniWanawake, na Starehe.
Huwa unanipa sioSi unapewa bure we tumia tumia tu utapewa tena bure bure,
Umeongea kwa hisia sana mkuu,Mkuu safari tunaendelea haina mwisho mpaka tuage dunia ila chagamoto kubwa ni wafanya kazi wetu na marafiki zetu.
Mkuu SI uoe tu, Afu pombe achaaaWanawake, na Starehe.