Ni mambo gani yanakwamisha safari yako ya mafanikio?

Tz ina mfumo, kuanzia Katiba, usiojisimamia, nikimaanisha, hakuna utii wa sheria! Hali hii haimuachi yeyote awe salama, si katika uwekezaji wala uhakika wa maisha.
 
Tz ina mfumo, kuanzia Katiba, usiojisimamia, nikimaanisha, hakuna utii wa sheria! Hali hii haimuachi yeyote awe salama, si katika uwekezaji wala uhakika wa maisha.
Ni kweli mkuu, ila mbona kina dewji, bakhresa, Salim wako salama🤔👉
 
Mkuu tatizo sio kuzaliwa masikini, shida ni kufa masikini.
👉R.i.p mengi
👉Di Maria, alikuwa muuza mabati
👉Suarez, king cr7, pele
Pambana kijana
Lakini nimejibu kulingana na mahitaji ya swali lako.
Lakini hizo changamoto hazimaanishi kwa zitasababisha nife nikiwa masikini.

Ni changamoto/vizuizi vinavyozuia mafanikio, lakini binafsi napambana navyo kuhakikisha navi~overcome
 
Tz ina mfumo, kuanzia Katiba, usiojisimamia, nikimaanisha, hakuna utii wa sheria! Hali hii haimuachi yeyote awe salama, si katika uwekezaji wala uhakika wa maisha.
Tz ina sheria na katiba ya kisenge ndio maana inakuwa ngumu watu kuifata katiba hiyo ya ovyo.
 
Reactions: Auz
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…