and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Duh! Hatari sana.Ukiugua figo ndugu wanaogopa kuja kukusalimia eti wanaogopa utawaomba figo.
Sawa sawa.πππ kwa ushaur kunywa maji ya kandoro uwe na afya njema mkuu
Pombe fakeTatizo la figo limekuwa kubwa sana sijui nini tatizo
Bora sukari mara elfu kuliko figo tumia akili utajua ...yani ukimwambia mtu yoyote achague figo au kisukari basi watu tungechagua kisukari bila ya kupepesa macho.... figo na cancer ni ngoma draw au figo inezidi kansa kidogoYote mabaya na hatari hakuna nafuu. Sukari kuua ni dakika tu
Sawa TAGIRIUmejieleza sana, sema unapenda local beer tu basi. Umeacha kutazama sinema unatazama tamthiliya. Yale yale health risks kwa alcohol iko pote local ama import haijalishi. Na local yetu ni import kwa nchi zingine ujue
umenichekesha sana nina rafiki zangu tena vijana tu 30s na 40s wanaumwa figo hadi nimeogopaUkiugua figo ndugu wanaogopa kuja kukusalimia eti wanaogopa utawaomba figo.
Taifa hili linaenda bora liende tu hakuna mwenye uchungu nalo utapeli everywhere.umenichekesha uliposema tanzania taifa la kihuni π. nami natamatisha ni taifa la ukimani π
Braza hiyo tv unaangali umefumba jicho moja ukiwa timamu, ukilewa unaona nini hapo ??View attachment 3127516
Nipo na zimua hapa saiz na ngano OG
Hapo uko sehemu salama sana kaka achana na hawa matajiri wa JFView attachment 3127516
Nipo na zimua hapa saiz na ngano OG
Msafara wa mamba kenge hawakosi.Kwa hiyo wewe unaona figo ni cha mtoto kwa kisukari wewe kweli bonzoππ usicheze na ugonjwa wa figo
Bora sukari mara elfu kuliko figo tumia akili utajua ...yani ukimwambia mtu yoyote achague figo au kisukari basi watu tungechagua kisukari bila ya kupepesa macho.... figo na cancer ni ngoma draw au figo inezidi kansa kido
Miaka kumi ijayo figo zitakuwa dili sana.wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.
Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.
Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.
Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni.
Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunya gongo iliyochanganywa na chang'aa
Huko nilihama toka mwaka juzi mkuu.Hapo uko sehemu salama sana kaka achana na hawa matajiri wa JF
Uko sahihi ...Kwanza kuchakachua Serengeti ya Elfu 2 mpaka iwe Serengeti ni zaidi ya hiyo Elfu mbili..wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.
Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.
Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.
Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni.
Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunya gongo iliyochanganywa na chang'aa
πππππππUkiugua figo ndugu wanaogopa kuja kukusalimia eti wanaogopa utawaomba figo.
KabisaUko sahihi ...Kwanza kuchakachua Serengeti ya Elfu 2 mpaka iwe Serengeti ni zaidi ya hiyo Elfu mbili..