Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Inatisha aiseee
 
Muombe Mungu akupe afya na siha njema ndugu "Acha" nikupe ushindi ugonjwa ni ugonjwa tu
Akili zako ni sawa na SAMIA BUSHIRI naye alisema kifo ni kifo tu ...pia hapa atuongelei kwa maana ya kifo ...mada hai kuwa 👉anaye kufa kwa kisukari au anayekufa kwa figo ) mada siyo kufa
 
Jamaa logic yake ni ndogo sana ameshindwa kujua hata back ground ya maisha ya mtoa figo na mpokea figo ina matter kwenye hatima yao baada ya kutoa figo na kuwekewa figo ...mtu aliye zaliwa kwenye maisha mazuri na kulelewa kwenye afya njema na maisha yasiyo na dhiki akija kutoa figo kumpatia ndugu yake anaweza kusavaivu muda mrefu na figo moja kuliko mtu aliye ishi maisha ya kula makwasu kwasu toka mdogo
 
Akili zako ni sawa na SAMIA BUSHIRI naye alisema kifo ni kifo tu ...pia haoa atuongelei kwa maana ya kifo ...mada ahikuwa 👉anaye kufa kwa kisukari au anayekufa kwa figo ) mada siyo kufa
M Sina neno sio mtu wa mabishano "mpumbavu mpe ushindi"
 
Kuna siku mwaka 2021 nikiwa chugga nilienda night club moja hivi nikaagiza Hennessy VSOP aiseee ile ilikuwa imechakachuliwa
 
Hatari kaka hujiulizi kwanini miaka ya nyuma hili tatzo halikuwa kubwa kama zamani.
Haimanishi kwamba tatizo halikuwepo zamani, labda njia za kuligunduwa ndo zimeboreshwa?.
Vipi UTI ipoje ukilinganisha zamani na sasa?
 
Na kina dokta Janabi wanaupromote sana huu ugonjwa kwenye media.
Prof. Janabi hafanyi promotion ya ugonjwa pamoja na kwamba anatoa masharti mengi. Nenda Mloganzilau au hospitali kubwa ukatembelee wagonjwa ukirudi utamtafuta Janabi mitandao yote ya kijamii.

Uzuri anatoa onyo tu na ushauri, ukipinga mtakutana na yeye au mwenye fani kama yake hospitali akiwa amevaa koti jeupe na wewe umevaa msuli kuvaa suruali tena huwezi.
 
Smart Gin 200 ml shs 2000-
Konyagi ndogo 200 ml shs 5000-
Zote ni ethanol na dionised water and artificial flavor na alcohol content ni sawa 🥴
 
1.Pombe
2.shisha,
3.sigara
4.kula vyakula vya mafuta mengi,mairiani,mapizza,fried chickens,chips,chumvi nyingi----hupelekea:-
5.Hypertension 6.Diabetes Mellitus
Sasa tule nini, na kwanini Mungu atuumbie vyakula vyenye marazi mengi kama hayo duuh?
 
Aisee haya mzee logic kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…