Umesema ya kukaushia vitu vikavu. Sasa vitu vishakuwa vikavu unakaushaje tena.... Au unataka viungue viwe majivu?We bwege Nini aliekuambia anataka kuchekesha watu Nani?..au Uzi wa vuchekesho huu?
@financial services njoo hapa usomeAnayehitaji mashine ya kutengenezea soft ice cream, 2,100,000 tuu, niliinununua sikuitumia, anayehitaji aniDM
Naomba kujua mkuu zinapatikana wapi.Iko manual inatengenezwa kibongobongo mkuu
Bei yake?Tunazo hizo piga simu 0627774377, tupo posta morogoro Road
Kwahiyo huyo fundi mpaka malaya anataka anunuliwe?[emoji23][emoji2][emoji2]Mkuu ulicho kisema ni kweli, kunajamaa alinunu machine ya kuprint picha QS 3011, kila inapohariika fundi anamtoa mbali anamsafirisha kumleta jamaa alipo, safari tu inamgarim pesa nyingi bado matengenezo na sehemu nzuri ya kulala fundi huyo bado atataka amupe pesa ya kununua malaya, yaani jamaa alijikuta uendeshaji wa machine hiyo unamshinda akaamua kufunga biashara
NimesomaUmesema ya kukaushia vitu vikavu. Sasa vitu vishakuwa vikavu unakaushaje tena.... Au unataka viungue viwe majivu?
Soma ulichoandika....
Ukishakua na lesen ya biashara mpya na zaman unazipata kwa uharaka mno.....!
Watz hawataki viwanda ndo maana zengwe kibao
Kabisa tukaondokana na importation ya bidhaaMama Angeweka unafuu Kwa watu wanaoimport machine as wana kuja kufanya uzalishaji na kodi itavunwa kwa muda mrefu [emoji119]
Kuna kazi zina faida nyingi sana🤣🤣🤣🤣Kwahiyo huyo fundi mpaka malaya anataka anunuliwe?[emoji23][emoji2][emoji2]
Tapeli huyo. Anategeneza mazingira ya kuwapiga watu kama ambavyo kampiga mshikaji wangu mpaka Leo hajamfanyia refund.Million 5 haiwezi kufika, labda 3
Material utapata wapi?Okay mkuu kuna mashine niliiona Alibaba inauzwa 1.5 m ila ni manual nimeitafuta tena sijaipata, hiyo niliyoweka ni sample tu wala sio halisia. Samahani sana kama imewa mislead watu wengine nitaiondoa.
Ila nimekuta hii muda huu 👇
View attachment 2237794
Unaweza kuweka picha yake?Nahitaji drill machine ila iwe hand held yenye uwezo mdogo napata kwa bei gani
Material utapata wapi?Okay mkuu kuna mashine niliiona Alibaba inauzwa 1.5 m ila ni manual nimeitafuta tena sijaipata, hiyo niliyoweka ni sample tu wala sio halisia. Samahani sana kama imewa mislead watu wengine nitaiondoa.
Ila nimekuta hii muda huu 👇
View attachment 2237794
Unaweza kuweka picha yake?
Ni kweli...Umesahau unatakiwa uwe na pesa ngapi ya kuzungushia
Pia Muhimu ni kuzingatia na eneo, kuna umuhimu pia wakutumia akili vizuri kwenye baadhi ya maswali yao maana lengo lao pia ni kufanya biashara...... Kwa hiyo wanachuja waombaji na kuweka vipao mbeleUmesahau unatakiwa uwe na pesa ngapi ya kuzungushia