Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Upo mkoa gani?
 
Mashine ya kusindika bangi.
 
Hivi wakuu kuna machine ya kuvuna or kupiga piga mpunga baada ya kukatwa/kuvunwa? Inaweza kuwa sh ngapi? Natamani niipeleke kijijini kwetu, iwarahisishie kazi wakati pia nikipiga pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…