Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Hivi solar 1000W complete inaweza ni cost bei gani
According to ufahamu wangu, Hawa Sundar / aborder walikua wanauza Sola @watt ( yaani watt moja) ni tsh 1,700/= hivyo mfano unataka watts 100 ✓ 170,000/= , watts 200 ✓ 340,000 Hadi 300,000/=


Ukija upande wa betri z drycell/za unfa (lead acid) zilikua zinauzwa @1N (N moja ) ni tsh 2,400/= mfano ukiwa unataka N10 utauziwa tsh 24,000/= ----- N 200 480,000=✓
 
Hiyo mbususu yenyewe nikipiga kimoko chali🤣🤣🤣🤣. Kuna sectir nipo vizuri kweli kweli ila siwezi kukwambia🤣🤣🤣

Hii ya biashara nipo hovyo yaani zero kabisa ndio maana natafuata mbia wakunifundisha
Eti kimoko 😂 sema fani yako unaweza kupata deals humu mkuu, mi najua una fani ya uchakataji mbususu tu😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…