Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
- #961
Pamoja mkuu...ngoja kama kuna wenye majibu mengine waje nao[emoji16][emoji16] umewaza kidog Kama mimi,, wakati nimeanza kusoma nikajua n proved kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuu...ngoja kama kuna wenye majibu mengine waje nao[emoji16][emoji16] umewaza kidog Kama mimi,, wakati nimeanza kusoma nikajua n proved kabisa
Hasa benkiNi vp wachawi hawawezi kuiba vitu/mali
Infinity haina mwisho, ni kama loop!universe is infinity!!
Mbona unauliza maswali yenye majibu kisayansi, mi nadhani tuhoji dogmas and conundrums kwa mfano baada ya kifo kuna maisha mengine, kwasababu pia kuna stori tunasikia kuna majini yana miaka zaidi ya 300 n.kDunia ina uzito kiasi gan? Nani aliupima huo uzito? Alipima akiwa wapi?
Watu wanakufa sana, vyuma vinachimbwa vinatengenezea vitu halafu vinapata kutu vinaoza, misitu inachomwa kila siku, maji yanaevaporate sana, ndege zote duniani zikiruka na zikawa zimejaza watu inamana uzito wa dunia haupungui?
Emotionally mwanamke ni superior.Hatuzungumzii nguvu za kupigana hapa ila kwa ujumla Mwanaume ni dhaifu kuliko mwanamke ila tu akapewa kuwa mtawala wa mwanamke
Hapana si damu , ni mkusanyiko wa seli zinazotengeneza kitu kinaitwa sinoatrial node , hizo seli hai hujulikana kama pacemakers cells hizi ndiyo huwa zinazalisha kiwango fulaini ch umeme kinachofanya moyo udunde.Damu
We jamaaiko kama yai sema ile mbaya ndo inakuwa kama kambale
Wakati Yesu anasali kwenye bustani ya Mlima wa Mizeituni, nani alikuwa katibu kata wa kata hiyo?Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Ya tatu ingekuwaje mkuu..Kwanini Mungu aliumba jinsia? kwanini asingeumba ya tatu?
Alikuwa na bado hajateuliwa...nadhan atateuliwa na hawa mawazir wengine siku zijazoWakati Yesu anasali kwenye bustani ya Mlima wa Mizeituni, nani alikuwa katibu kata wa kata hiyo?
Nkonyofu ujhu, aka na mahalaMajanga ya kufikiri pasipo kutafakari, hashindwi chochote ; anaweza kutengeneza...ambalo HAWEZI...atakuwaje hawezi wakati hashindwi na chochote ? Tafakari chukua Hatua
DuhYesu alipochukuliwa na roho nyikani ili ajaribiwe na ibilisi katika Mathayo 4:1 je Yesu alichukuliwa kwa nguvu, au kwa kubebembelezwa au alichukuliwa bila yeye kuwa na fahamu?
Nini uhusiano wa Roho aliyembeba Yesu mpaka kwa Ibilisi ili akajaribiwe?
Mkuuuu nimekuelewaaa balaaa1. If all the nations in the world are in debt (am not joking, even US has got debts), where did all the money go?
2. When dog food is new and improved tasting, who tests it?
3. What is the speed of darkness?
4. Who copyrighted the copyright symbol?
5. Can you cry under water?
6. Do fish ever get thirsty?
7. Can you get cornered in a round room?
8. Why do birds not fall out of trees when they sleep?
9. What came first, the fruit or the color orange?
10. Can you blow a balloon up under water?
11. Why is it called a "building" when it is already built?
12. If you were traveling at the speed of sound and you turned on your radio would you be ! able to hear it?
13. If you're traveling at the speed of light and you turn your headlights on, what happens?
14. If a person owns a piece of land do they own it all the way down to the core of the earth?
15. Where are all the big magma chambers that could produce super-eruptions?
Kwani wananchi wa nchi hiyo ya kufikirika WOOOOTE wanaishi ndani ya nchi hiyo?Nini kitatokea endapo nchi flani labda ikakumbwa na janga kubwa litakalopelekea wananchi wake wote kuangamia kwa pamoja.je utaanzishwa utawala mwingine na jina lingine la nchi hiyo.. Hao watawala wapya watatokea wapi dunian??