Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
- #1,161
hahaha..Unaweza kukumbuka ulivyoishi huko mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha..Unaweza kukumbuka ulivyoishi huko mbinguni
Alikujibu sawa ila kusema mpaka madini hapana, kikatiba Serikali/Rais ana mamlaka ya kubadili matumizi ya ardhi yoyote Ile ndani ya mipaka. So wewe utapewa tu fidia ila huwezi katalia kupisha at least kikatiba.Kuna mtu humu aliuliza hvi mtu ukimiliki ardhi ni unaimiliki had tu the core yaani kiini cha dunia?
Week kadhaa nilipata nafasi ya kufanya kazi ya kupima viwanja. Nilipata nafasi ya kumuuliza hili swali afisa ardhi alijibu NDIYO!
ndio maana unaruhusiwa hata kuchimba kisima futi uzitakazo ilmradi uyakute maji.
Akanitania kwa kusema ila kama ardhi yako ina madini basi serikali hufanya yake.
Mkuu kwanini aliweka agano na Wana wa Israel ila baadae akaja kulitosa Kabila la Dani!! Unaweza kutusaidia Hili swali.Yapo mambo ambayo Mungu hawezi fanya au kutenda inagawa anaweza yote .
1.Hawezi kutenda dhambi.
2.Hawezi kwenda kinyume na sheria alizoziweka mwenyewe hata Kama anayo nguvu na mamlaka.
3.Hawezi kusema uongo.
4.Hawezi kuhacha kutunza na kutekeleza maagano.
Mkakati upi? Mungu ana upendo, na Mungu ni mwema inakuwaje amuache shetani kimkakati?Ndivyo unavyojidanganya shetani kaachwa kimkakati na kwa sababu, ni sawa na kusema majeshi ya UN kushindwa kumaliza waasi Congo ila wanaachwa tu kimkakati na kwa sababu za wakulu [emoji16] ila anytime wakiamua kuwafuta ni swala dogo sana
daah hili swali linafikirisha sanaKwa kuwa roho haifi, kabla ya kutungwa mimba roho ilikuwa wapi?
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hili watu wakijisumbua sana linaweza kujibika3: Mimba yako ilitungwa mda gani?
Kitu kisichoonekana ..kinakaaa..UMEJUAJE.... kinakaaKuuliza kitu kisichoonekane kwamba kinakaa wapi. Mpaka kifo hutapata jibu, labda roho ikitengana na mwili visivyoonekana vitaonekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kisichoonekana ..kinakaaa..UMEJUAJE.... kinakaaKuuliza kitu kisichoonekane kwamba kinakaa wapi. Mpaka kifo hutapata jibu, labda roho ikitengana na mwili visivyoonekana vitaonekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hajawahi kuishi....ila anaishiKabla ya Mungu kuumba Dunia, kabla ya hapo aliishi miaka mingapi huko nyuma?!
DulaHivi nani alikuwa anabuni hizi nyimbo za asili za makabila ?
Aliyemuua yesuJibu la swali hili litapatikana siku za mbele
Kama roho haifi, ulikuwa wapi kabla
Kama roho haifi, ulikuwa wapi kabla
Tunaishi...ili tuleTunakula ili tuishi au tunaishi ili tule...!!??
MmmmmAllah anaweza Kila kitu lakini hawezi Kuwa binadamu (yesu)
John alipoteaje kimasihara?Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
No 2Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Kama Mungu ni roho na hana mwili kwanini kuwe na maneno kama bwana Mungu, bwana na baba zimetokana na nini kama Mungu hana jinsia!?Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
.Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?