Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Kuna mtu humu aliuliza hvi mtu ukimiliki ardhi ni unaimiliki had tu the core yaani kiini cha dunia?

Week kadhaa nilipata nafasi ya kufanya kazi ya kupima viwanja. Nilipata nafasi ya kumuuliza hili swali afisa ardhi alijibu NDIYO!

ndio maana unaruhusiwa hata kuchimba kisima futi uzitakazo ilmradi uyakute maji.
Akanitania kwa kusema ila kama ardhi yako ina madini basi serikali hufanya yake.
Alikujibu sawa ila kusema mpaka madini hapana, kikatiba Serikali/Rais ana mamlaka ya kubadili matumizi ya ardhi yoyote Ile ndani ya mipaka. So wewe utapewa tu fidia ila huwezi katalia kupisha at least kikatiba.

Ila nchi za kibepari unakuta mtu anamiliki kabisa so serikali lazma imbembeleze ndio awauzie.
 
Yapo mambo ambayo Mungu hawezi fanya au kutenda inagawa anaweza yote .
1.Hawezi kutenda dhambi.
2.Hawezi kwenda kinyume na sheria alizoziweka mwenyewe hata Kama anayo nguvu na mamlaka.
3.Hawezi kusema uongo.
4.Hawezi kuhacha kutunza na kutekeleza maagano.
Mkuu kwanini aliweka agano na Wana wa Israel ila baadae akaja kulitosa Kabila la Dani!! Unaweza kutusaidia Hili swali.

Na kama aliwatupa according to ufunuo 7 na 14 je anakua amekiuka agano?
 
Ndivyo unavyojidanganya shetani kaachwa kimkakati na kwa sababu, ni sawa na kusema majeshi ya UN kushindwa kumaliza waasi Congo ila wanaachwa tu kimkakati na kwa sababu za wakulu [emoji16] ila anytime wakiamua kuwafuta ni swala dogo sana
Mkakati upi? Mungu ana upendo, na Mungu ni mwema inakuwaje amuache shetani kimkakati?
 
Back
Top Bottom