Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Tofauti ni kuwa mwezi ni source of light though it reflects from the sun. Ila dunia iko kama ilivyo kwa sababu sio chanzo cha mwanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ni kuwa mwezi ni source of light though it reflects from the sun. Ila dunia iko kama ilivyo kwa sababu sio chanzo cha mwanga
🤣Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
🤣🤣🤣 Halafu akawasakizia binaadamu wamalizane nae !?Hahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
Kipofu hawez kuonaKipofu anaona nini?
Timeless coz God is time
Ukifumba macho unaona nini? Kipofu yeye huona nini?Kipofu hawez kuona
Iyo dim unayoniona ukifumba macho unaiona voz macho yako ni mazima kama ni mabovu kama kipofu ukifumba ni giza tu.bioofu wengi wanaona dim kukuwa mchana tu wakiwa wameacha kope zaoUkifumba macho unaona nini? Kipofu yeye huona nini?
Hivi kwanini huwa tunaogopa ku discuss ya Mungu?I think tusifike huku tusije kuanza kukufuru
Hivi Twiga analala amesimama au analala chini?miaka 2022
duh ngoja wajuzi wajeHivi Twiga analala amesimama au analala chini?
Hili swali nimejiuliza sana. Tembo nahisi anaweza kulala chini, ila kwa twiga sijui mkuu, acha tuwasubirieduh ngoja wajuzi waje
Analala akiwa amesmamaHili swali nimejiuliza sana. Tembo nahisi anaweza kulala chini, ila kwa twiga sijui mkuu, acha tuwasubirie
Tunaamini kuliko wao waliyotuleteaKwanini Waafrika tumekuwa wapumbavu kufuata na kuamini dini za watu zisizo na mashiko kwetu?
Mkuu una uhakika kweli?Analala akiwa amesmama
Mkuu una uhakika kweli?
Huku wakitucheka kwa kuwa mazoba tusiojitambuaTunaamini kuliko wao waliyotuletea
[emoji23]