Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 461
- 498
Yap that is true mkuu!Mkuu una uhakika kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap that is true mkuu!Mkuu una uhakika kweli?
1. Ni maisha in another dimension tofauti na physical world so kufa sio kupotea na kinachokufa na mwili maana vitu vyenye asili ya physical world huwa vinatabia ya kutokudumu milele ila wewe ni Nafsi hai inayoishi ndani ya nyumba inaitwa mwili.Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Roho ni nguvu au nishati (energy) inayovipa uhai vitu visivyo na uhai, so it's just nguvu haina umbo ingawa inaweza kuchukua umbo lolote, mfano moto au maji vinaumbo gani? Ila vinaweza kuchukua umbo la chochote kutegemea viko wapi, ila roho ikiwa na nafsi, ndio tunapata Nafsi hai yenye utashi mawazo maamuzi hisia tabia elimu na makolokolo yote ambayo yapo kwenye nafsi au yanayounda nafsi, kwa hiyo roho kama roho yenyewe ni nguvu isiyo na utashi maamuzi tabia elimu hisia na Nafsi bila roho haiwezi kuonesha hizo sifa zake ingawa zipo lakini bila roho zinakuwa zimekufa ni sawa na simu nzuri sana yenyewe kila kitu miziki social Networks operating system bila betri hakuna kila kitu.roho ikoje?
Swali rahisi sana nchiSheria na nchi kilianza nini?
Mungu ndio aliumba muda unaotumia kabla ya kuumba hakukuwa na time ndio maana husema hana mwanzoMungu alianza kuwepo lini?
Why jiwe, na alibebe anapeleka wapi anampelekea nani na kwanini, ukitafakari kwa makini utafahamu kuwa kila kitu kinafanyika kwa sababu na makusudi maalum kama ipo sababu na kusudi na umuhimu wa kufanya hivyo hakuna cha kumzuia kutimiza matakwa yake, kama lengo lake ni asiweze kulibeba bado hashindwi kufanya hivyo.Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
Ndivyo unavyojidanganya shetani kaachwa kimkakati na kwa sababu, ni sawa na kusema majeshi ya UN kushindwa kumaliza waasi Congo ila wanaachwa tu kimkakati na kwa sababu za wakulu [emoji16] ila anytime wakiamua kuwafuta ni swala dogo sanaHahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
No time limitMilele maana yake nini?
Simple question need simple answer, hazinaRoho zina jinsia?
Anga ya mwezini ni giza tu haijalishi kuwe na jua au hamna ni kwa sababu hamna atmosphere (collection of different gases) it's vacuum to some extent1.Nani ni mmiliki wa logo ya copy right?
2.Ukiwa mwezini ukiangalia juu unaona nini?
Allah anaweza Kila kitu lakini hawezi Kuwa binadamu (yesu)Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
roho ikoje?
mbinguni kwa babaKabla ya kuzaliwa na kuuvaa huu mwili ulikuwa wapi?
......anaweza kila kitu lakini hawezi.....hapo umechemsha rafiki.Allah anaweza Kila kitu lakini hawezi Kuwa binadamu (yesu)
Unaweza kukumbuka ulivyoishi huko mbingunimbinguni kwa baba