Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Kwa nn 1+1 isiwe 11?
Kwa principal ipi? Huoni hapo wewe umeziunganisha na siyo kuzijumlisha kama principle za hesabu zinavyosema. Mathematics au numbers are very complicated and they have strong power kama wajua kuzitumia. Je wajua kuna range ya namba inaishia 7,yaani 0-7 na nyingine ni 0-1,zetu ambazo ni maarufu nizaishia 9 nikimaanisha 0-9. Japo hili siyo somo geni sana kwa watu wa hesabu au computer.
 
Mungu hakuanza wala hatakwisha yaani Mungu hana mwanzo wala mwisho, je ni kivipi??
Nadhani ni kwa sababu Mungu ni roho na siyo binadamu ila tunamfikiria ki binadamu ndiyo maana huwa hatuwezi kumwelewa.
 
1. If all the nations in the world are in debt (am not joking, even US has got debts), where did all the money go?

2. When dog food is new and improved tasting, who tests it?

3. What is the speed of darkness?

4. Who copyrighted the copyright symbol?

5. Can you cry under water?

6. Do fish ever get thirsty?

7. Can you get cornered in a round room?

8. Why do birds not fall out of trees when they sleep?

9. What came first, the fruit or the color orange?

10. Can you blow a balloon up under water?

11. Why is it called a "building" when it is already built?

12. If you were traveling at the speed of sound and you turned on your radio would you be ! able to hear it?

13. If you're traveling at the speed of light and you turn your headlights on, what happens?

14. If a person owns a piece of land do they own it all the way down to the core of the earth?

15. Where are all the big magma chambers that could produce super-eruptions?
#14. For the case of Tanzanian laws (land laws) no one own the land, simply we are lessees/tenants
 
Vp zile content zinazosema..mabaki haya ya mifupa ni zaid ya miaka milion 5...
2022 ni miaka ya YESU ila dunia ilikuwepo
basi ni miaka 7000+2022

Maana Mungu aliumba dunia na byote kwa siku 7....kumbuka siku 1 kwake ni sawa na miaka 1000 kwetu..

Baada ya hapo jumlisha miaka 2022 tuliyonayo sasa
 
How...?
images%20(3)%20(20).jpg
images%20(3)%20(19).jpg
 
basi ni miaka 7000+2022

Maana Mungu aliumba dunia na byote kwa siku 7....kumbuka siku 1 kwake ni sawa na miaka 1000 kwetu..

Baada ya hapo jumlisha miaka 2022 tuliyonayo sasa
Wewe ndugu unachanga kumbuka kama 2022 imeanza kuhesabiwa baada ya yesu kuzaliwa vipi kabla ya kuzaliwa ni miaka mingap ilikua imepita baada ya hio 7000 ya uumbaji?! ?! Pili miaka iko tofaut kulingana na sayar kuna sayari miaka ni ming I mean mda unaotumika kuzunguka jua so tunawezaje kujua hio miaka 7000 ilipimwa katika kipimo gan
 
Wewe ndugu unachanga kumbuka kama 2022 imeanza kuhesabiwa baada ya yesu kuzaliwa vipi kabla ya kuzaliwa ni miaka mingap ilikua imepita baada ya hio 7000 ya uumbaji?! ?! Pili miaka iko tofaut kulingana na sayar kuna sayari miaka ni ming I mean mda unaotumika kuzunguka jua so tunawezaje kujua hio miaka 7000 ilipimwa katika kipimo gan
nimejisemea tu..sina uhakika mkuu
 
Back
Top Bottom