Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

1. Who wrote the Bible
2. Who wrote the Quran
3. Who made up words
4. Who made up numbers
 
Hivi wale watu waliyokuwa wanafufuliwa na Yesu walikuwa wanaeleza maisha baada ya kifo yapoje au hawakuwa na kumbukumbu?
 
Zamani, ktk kumbukimbu za historia walikuw Wana andikwa tu uzawa wa kiume hivyo inasadikika Adam alizaa Wana wakike ambao wali kuja kuoana na kaka zao wakaendeleza uzao chini ya just🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…