thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 264
maswali yangu nimeyauliza waaay back in the thread,na ninayaelewa ndo mana nikauliza, ye badala ya kujibu anauliza tuuu,kwa kila mtu anamuuliza tuuuu,hatoi majibu,hehh,ndo stlye gani hiyo
unauhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maswali yangu nimeyauliza waaay back in the thread,na ninayaelewa ndo mana nikauliza, ye badala ya kujibu anauliza tuuu,kwa kila mtu anamuuliza tuuuu,hatoi majibu,hehh,ndo stlye gani hiyo
Kwanini aiumbe?
Unadhani wewe kuona kama ulivyoona ni tatizo?
Unaweza kuona katikati ya chumba chambo kuna mti wa mbuyu,halina tatizo kwani hivyo ndivyo unavyoona
Lakini kiukweli ni kuwa unaona hivyo kwasababu macho yako sio mazima
Tatizo halitakuwa la chumba ambacho wewe unaona mti ndani yake bali ni wewe
Nenda katibu macho yako kwanza ili uone vizuri
Wewe unauliza kuhusu Mungu wakati hata Mungu mwenyewe hujui anaitwa nani achilia mbali matege yaliyoko kwenye hilo swali lako
Nina sababu kubwa sana ya kutaka kujua kama unamjua huyo Mungu lakini kwakuwa wewe una fikra kama za nzi huwezi kujua
Nilipokuuliza "Unamjua Mungu"? kabla ya kujibu ulichouliza nilikuwa nataka kujua hilo,bahati mbaya huna uwezo wa kuelewa!
unauhakika
mf.Mungu ametokea wapi?
je wewe unamjua huyo unaeulizia katoka wapi?
na kama humjui unauliza nini?
kama unamjua unashindwaje kujua alipotoka
fikra za nzi,hahhahahah,kati ya mi na wewe nani mwenye nazo,THINK TWICE UJIJUE,mada inasema' maswali yapi unahisi hayajibiki'...you must agree with me you have failed to give answers leading us back to the main THEME of this thread.......ts worldwide,it's known,tunasoma bible nk,wanasayansi washadevelop theories za kutosha kuhusu Mungu alipotokea but NO ANSWER IS CERTAIN,no body knows,so hayo maswali juu ya maswali unayoleta hapa yanamislead tu watu,...hadi aje aulizwe Mwenyezi Mungu mwenyewe ndo atatueleza
ukipata hayo majibu THEN WHAT?Tuanzie hapo
uhakika upiiiiiii?he can't even realize thread inataka unaswerable questions?yuko busy anajibu,tena kwa maswali juu,REALLY?
yes its real ,swali gani limekushinda nipe .
then my thirst is quenched...on to the next one
mi sijui,so anaejifanya kujua aseme exact location or something with supporting literature au atulie libaki swali kama lilivyo,
my point is sioni mantiki ya ye kuuliza maswali yote hayo on the thread
yamejaa thread nzima toka mwanzo,soma uyajibu, atleast constructively na sio kwa kuuliza maswali juu....
Au mfano؛‎:nini kinamtokea binadamu baada ya kufa?
hahaha badiebey we muoga i can see ,ok ni hivi after death we sleep ,kama unavyolala afu unashtukia tuu umefumbua macho,ule usingizi palekati ukiwa huna pumzi ndo kifo,tutafufuka na kuhukumiwa afu vita ya mwisho ya kiroho ,shetani hell ,wa mungu heaven
Mwisho mtakufuru kwa maswali.
What if you couldnt talk and see,what if the answers are false and they satisfy dont you think your quenching for a thirst is negative hence proving a world wrong
atleast ur answering
a what if remais a what if,i can talk and see