Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Wa kwetu hakuna kitu kinauma ila mbupu ziweke mbali na watu wa ovyo.
 
Poleee sana.Mimi yalikuwa yote mawili sijui ningekuwa pekeyangu tu ingekuwaje .Ilifikia hatua nikawa nashikwa kupelekwa njee.Macho muhimu sana aisee.
Asante mkuu..pole na wewe..
Macho ni kiungo muhimu sana...
 
Fanya yote lakini kamwe usikalie pu-mbu au usilibane Kwa namna yoyote Ile!! Maumivu yake hayasimuliki na hayana mfano.

Nimemaliza kama hujawahi jaribu tu hata kuliminya uone
 
Sio kambaku (mafuta makali) hyo inaumiza mpaka meno
Now nimelala naumwa kichwa upande wa kushoto around the left eye KMMK. kichwa kinagonga kama saa maumivu yake hayaelezeki aise. Nishazunguka hospital napewa tu dawa za kituliza maumivu dah.
 
Kinachouma zaidi ni kile ulichowahi kuumwa haswaa na kikakusumbia. Ndo Kila mmoja achokuja nacho hapa ninavyoona.

Ila kwa Mimi, ni ngiri....yaani hernia. Aisee nilijikuta natafuna mchanga bila kujua kama nafanya hivyo Hadi pale inaponiacha ndo najua kuwa kumbe nilikuwa natafuna mchanga. Siku nyingine nilijikuta natolewa uvunguni mwa kitanda, hata sijui nilifikaje. Nashukuru Sasa nimeshafanyiwa upasuaji na sina tena ugonjwa huo.
 
My thoughts are with her
 
Nilimshuhudia mgonjwa wa sikio akipiga kelele hata pale mtu anapopita tu na kuburuza ndala au mlango unapofungwa kwa nguvu....sijui ndo unauma zaidi?!!
 
Kila sehemu ya mwili wa mwanadamu ni chungu Sana inapouma.

Ila Mimi niliwahi kuumwa jicho wakati Fulani aisee maumivu yake usipime.
Ule usiku ulikuwa mrefu Sana kwangu.
 
Uchungu wa kuzaa aisee na ndio maana unaitwa uchungu duuu ni nusu ya kifo
 
Kuna mtu ame mention kuvunjika mfupa somewhere aisee hii issue dah hadi mwili umesisimka wazee... Nikiwaza sana huwa naona sisi binadamu ni nothing tu kwa jinsi tulivyo delicate hivi.
 
Uchungu wa kuzaa aisee na ndio maana unaitwa uchungu duuu ni nusu ya kifo
Na kwanini msiwe mnajifungua tu mtoto mmoja na kuapa kutokuzaa tena.
Nyie wenyewe mnasema kujifungua ni uchungu afu Unakuta mtu anazaa watoto Saba kuendelea😅
 
Utafiti rasmi unasema kuwa

"Childbith is the second most painful thing after being burned alive"

Kwa Kiswahili : UCHUNGU wa Mwanamke kuzaa ndio kitu cha pili kinachouma zaidi duniani, ya kwanza ni "Kuchomwa moto ukiwa hai"
 
Mkuu hujawahi fanyiwa opetation na kuwekewa catheter?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…