Ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi?

Wahenga walishaimba "ukisikia paaa jua imekukosa",

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SMG inatembea kwa sekunde mita 540 umbali wa kutua mita 2160

Hv SMG inatembea au risasi?

Then hapa risasi gani umeizungumzia ambayo inatembea mita 540 kwa sekunde na je hakuna utofauti kwenye risasi? Mfano hai 9mm na 7.62 au 5mm zaweza kuwa sawa kwenye kutembea?


sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Wewe utakua unataka kuzifanyia majaribio aisee we noma sana umeona umetengeza butu so unataka maufundi humu mmh ngoja waje wenyewe watakujibu
 
Wali iumba inakimbia huku inazunguka ili ichane mawimbi kiurahisi na iwe fasta
 
Nazidi kuelewa risasi kwenye tukio la mh Lissu kupigwa risasi kumbe inaweza penya kitu still ikafka taget na kusababisha madhara
 
Kile kichwa cha risasi ndani yake kuna kipande cha chuma ambayo ni lead type of iron. Aina hii ya chuma ni sumu kwa afya ya mnyama. Pia kasi ya risasi ni chanzo cha mtu kufa kwasababu ikipenya mwilini inaharibu body tissues kwa kiasi kikubwa na kusababisha damu nyingi kutoka eventually kifo
 
Iko hivi,
Kuna bunduki za aina tatu; kwanza shot gun, semiautomatic na automatic gun.

Hizo shotgun ni bunduki za kizamani kama gobore au wanazotumia kiwindia.

Semiautomatic ni kama vile Semiautomatic riffle (SAR) ambazo hutumika sana kwenye gwaride.

Automatic zinatumika zaidi vitani, kama SMG, AK47, G3, Uzi gun etc.
Zipo za masafa marefu kama LMG (zenye risasi za mikanda) etc

Sasa zinavyofanya kazi nadhani ndio swali lako. Kwenye automatic ndio Mpango mzima.
Risasi zinakaa kwenye magazine (kama 30-40). Hatua ya kwanza inavuta cocking handle ili kuweka risasi chamber, pili unafungua usalama, hapo unaweza kuweka rapid au moja moja.
Hatua ya tatu unafyatua.
Sasa unapofyatua ile trigger kuna vitendo vinne vinafanyika kwa sekunde moja.
Kwanza baruti iliyomo kwenye ganda la risasi italipuka na kusababisha risasi iende mbele.
Mlipuko ule husababisha cocking handle iliyoshikwa na spring irudi nyuma na kuchota risasi nyingine kutoka kwenye magazine na kuiweka chamber huku lile ganda la risasi iliyolipuka likiruka nje. Mapigo hayo huendelea mithili ya machine hadi uachie trigger.
Hiyo ndio maana ya automatic.
Uchawi wote uko kwenye baruti inapolipuka na ndio inayotoa sauti kali. Risasi ina uwezo wa kuua ndani ya meter 100.
 
Kuna baadhi ya risasi nasikia ikifika mwilini inapasuka kuwa vipande hivyo kuleta athari kubwa sn..na ile speed/velocity yake mhh
 
Kinachofyatua risasi itoke kwa kasi ni mlipuko wa baruti uliomo ndani ya risasi unachokifanya kichwa cha baruti kurushwa mbali kwa kasi na ganda linalobeba baruti kudondoka chini.
 
Ila tundu lissu hakufa kweli mungu yupo !!
 
Kweli humu ni darasa. Asante kwa elimu.
 
Kam umeenda shule ni desa ka muingereza bw.isaac.newton na ile sheria yake namba tatu ya mwendo
Newton third "to every action there's equal and opposite reaction"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…