Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Hupendi wanaojadili mtu badala ya issue, lakini unamjadili Kiranga.

Contradiction.
 
Huwa siangalii post imetoka kwa nani, naangalia hiki kinafaa kusoma au kujifunza kama hakinifai ni chenyewe hakinifai wala sio alie kileta.

Nawaheshimu sana kila membar hapa jf kwani hatulingani kifikra.
Wakati ukijiona huyu ni mjinga anaandika ujinga kuna mwingine ana akili kushinda wewe nae alikiona mjinga utajisikiaje?

Tunatofautiana kifikra kimtazamo na kiuwezo pia, kikubwa kuheshimiana na kusitiriana udhaifu wetu.
 
Chaputa ya kike tena jamani....sasa kwa nini umejiunga huko wakati de liboloz zipo kibao?

Wee liverpool wamchuia nini wakati wee mwenyewe umesema hutaki kuolewa?

Mie wala sio mtumiaji wa tope, napiga story tuu hapa kuburudisha baraza. Hamna ata mwanamke wala mwanaume niliyemla tope. Mie natosheka na moenzi wangu revola basi. Hela yenyewe ipo wapi dada yangu ya kugegeda. Ukiwaza tozo de libolo linanyea lenyewe
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa mara ya kwanza umeongea kama baba mchungaji.daaaa😉
 

Punguza uroho mbaya wa kunyima watu utamu.

UCHAPUTA wakati men are there.

#YNWA
 
@Bujibuji Simba Nyamaume huyu Babu[emoji81][emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…