Hupendi wanaojadili mtu badala ya issue, lakini unamjadili Kiranga.Me kiranga simchukii ila naonaga watu wanamwona ana akili nyingi lakini me naona wa kawaida Sana yaani hizo akili zinazosemekana anazo NI akili hewa ..gentamicine kiukweli simpendi na wale wote ambao wanapenda kujadili mtu na sio ishu yaani mtu anajifanya kukujua Sana .kwa mfano labda thread ya zamani uliwahi kusema unaishi iringa then baada ya miaka mitatu ukaja ukaanzisha thread nyingine anakuja boya kucomment eti vipi Bado uko iringa huu NI ujinga na shobo
Sababu ni ulajii Mkuu. Sifia upate kulaaMimi sichukii mtu nachukia nyuzi..zinazosifia chama na serikali bila sababu ya msingi
Chaputa ya kike tena jamani....sasa kwa nini umejiunga huko wakati de liboloz zipo kibao?Liverpool VPN kitendo Cha kuhamasisha tusioane anataka tuishi na upweke.2. mzabzab kushadadia na kuhamasisha wengine walipende tope.3. Beesmom kujifanya anapenda mikuyenge wakati Yeye ni member wa CHAPUTA ya kike😏 na mwisho kabisa ambaye nikimwona moyo wangu unafura Kwa hasira ni Smart911 ila sababu sijui🙄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa mara ya kwanza umeongea kama baba mchungaji.daaaa😉Chaputa ya kike tena jamani....sasa kwa nini umejiunga huko wakati de liboloz zipo kibao?
Wee liverpool wamchuia nini wakati wee mwenyewe umesema hutaki kuolewa?
Mie wala sio mtumiaji wa tope, napiga story tuu hapa kuburudisha baraza. Hamna ata mwanamke wala mwanaume niliyemla tope. Mie natosheka na moenzi wangu revola basi. Hela yenyewe ipo wapi dada yangu ya kugegeda. Ukiwaza tozo de libolo linanyea lenyewe
Liverpool VPN kitendo Cha kuhamasisha tusioane anataka tuishi na upweke.2. mzabzab kushadadia na kuhamasisha wengine walipende tope.3. Beesmom kujifanya anapenda mikuyenge wakati Yeye ni member wa CHAPUTA ya kike😏 na mwisho kabisa ambaye nikimwona moyo wangu unafura Kwa hasira ni Smart911 ila sababu sijui🙄
🤣umeona unichane live,Asante 😶Punguza uroho mbaya wa kunyima watu utamu.
UCHAPUTA wakati men are there.
#YNWA
Maisha mafupi kiasi kusumbuka na watu wasiojulikana,, ignore tuUmeamua kuwalima block ya jf
Hasira za nini sasa,,, usipouelewa mwandiko wa mtu si una mpuuza tu ili usione maandishi yake😊😊
Wewe hauna hasira😀
@Bujibuji Simba Nyamaume huyu Babu[emoji81][emoji81]Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Sio kuwa bado bado kidogo kama KasieI love Maxence Melo to the maximum, sema tu Mamndenyi miaka imekwenda wapi.
Hasira za nini sasa,,, usipouelewa mwandiko wa mtu si una mpuuza tu ili usione maandishi yake
One day yes, upendo wa kweli haujawahi kufeli. Ni muda tu ndio utachelewa.Na utahakikisha Mpaka unamkula[emoji39]