Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Ona usivyo na akili manina zako. Usinihusishe na matendo yaliyo machukizo shenzi wewe. Unapenda kuongela uchafu jirekebishe pumbav.uu wewe
Nihakikishie kama humuonei wivu huyo dada, nihakikishie pia kama hutamani kuwa Kama yeye.
 
Vijana kama nyie siku hizi hamuaminiki kabisa, mmekua rojorojo sana. Ndio maana naomba unihakikishie hutamani kuwa kama huyo dada
Mie mwanaume wa shoka haswaaa . Sio lege lege hata kidogo... sijakulia broiler mie
Your browser is not able to display this video.
 
Ukiona Uzi wa kuwaandika watu tunaowapenda nishtue mkuu.
Ninakukubali sana.
 
Avatar moja inajiita cocastic, inasapoti sana mambo kunuka na kupakana mavimavi jinsia moja utafikiri inalipwa.
 
Mtu simfaham, hajifaham, sina muunganiko wowote na yeye, iwe kiuchumi wala kijamii naanzaje kumchukia. Aisee maisha yana mambo mengi ya kufanya, kuingia hapa ni kujiburudisha, kupata habari na connections kama zipo, mengine nawaachia wenye kuweka chuki. Ukinichukua fanya 2^x maana ni dhahiri huna vitu vya msingi vya kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…