Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nihakikishie kama humuonei wivu huyo dada, nihakikishie pia kama hutamani kuwa Kama yeye.Ona usivyo na akili manina zako. Usinihusishe na matendo yaliyo machukizo shenzi wewe. Unapenda kuongela uchafu jirekebishe pumbav.uu wewe
Mie mwanaume wa shoka haswaaa . Sio lege lege hata kidogo... sijakulia broiler mieVijana kama nyie siku hizi hamuaminiki kabisa, mmekua rojorojo sana. Ndio maana naomba unihakikishie hutamani kuwa kama huyo dada
Kasie
Baadhi ya Mademu wa JF nawachukia kinoma ukiwaangalia kitaalamu wapo kibiashara
Hataki wafanye biashara anataka bureSasa unamchukia mtu yupo kwenye biashara yake?
[emoji23]Kuna huyu aliomba nitume ya nauli,. NIKATUMA 50k halafu akaniblock. Nina hasira sana. Ajue namba za noti niliziandika. Naenda kwa Fundi. Ajipaenge atanunua mikate ajaze chumba si kwa kuvuja kule
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Weka dadaHaswaa... kama wanataka kuwajua niwawekee screenshot ya ignore list
Hataki wafanye biashara anataka bure
Itakua 😄Huyu ndo anaekopa wadada wa watu[emoji28]
Ukiona Uzi wa kuwaandika watu tunaowapenda nishtue mkuu.Huwa siangalii post imetoka kwa nani, naangalia hiki kinafaa kusoma au kujifunza kama hakinifai ni chenyewe hakinifai wala sio alie kileta.
Nawaheshimu sana kila membar hapa jf kwani hatulingani kifikra.
Wakati ukijiona huyu ni mjinga anaandika ujinga kuna mwingine ana akili kushinda wewe nae alikiona mjinga utajisikiaje?
Tunatofautiana kifikra kimtazamo na kiuwezo pia, kikubwa kuheshimiana na kusitiriana udhaifu wetu.