The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Wekeni na clip tuone.View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Ujumbe mmeupata.Shangwe za marehemu tu hizo.
Kwa miila za kiafrika marehemu husifiwa hata kama alikuwa muovu.
Sasa huyu jamaa alikuwa muovu kweli kweli. Ndiyo maana hajaishi (Y. Makamba).
Mmeona aibu.Labda wajinga ndio watatumia
Ujumbe tumeupata, ya kwamba sukuma gang wamechanganyikiwa. Kwamba bado wanaamini jiwe atarudi ikulu.Ujumbe mmeupata.
Ukijifungua hilo gubu dhidi ya JPM litakwisha na utakuwa busy kulea kichanga chakoLilikuwa shamba Sana hili jamaa. Lilipenda sifa za kitoto mnoooo!
Sasa kupigwa picha na.mafaili yoye haya ndiyo nini?
Kwani wengine habari walizipata wapi kwamba Magufuli ndio muuwaji anauwa hovyo raia?Lakini si unafahamu jinsi alivyominya haki ya kupata habari? Hao wote ni watumwa wa ujinga uliotokana na kunyimwa haki yao ya kujua ukweli juu ya uovu aliokuwa akiutendeka.
Does a trained dog also pity the wolf?Ujumbe tumeupata, ya kwamba sukuma gang wamechanganyikiwa. Kwamba bado wanaamini jiwe atarudi ikulu.
I pity you!
Labda kwa kuwasaidia hao watanzania wenzako katika kuwatoa ujinga ungewawekea ushahidi kabisa usio na shaka kuthibitisha Magufuli alitoa hilo agizo, pengine hapo ndio wataelewa maana pengine nao wana mtazamo tofauti kuhusu kushambuliwa kwa Lissu.Alishangiliwa na watu wa namna gani? Maana Afrika wajinga na wasio na akili ni wengi kuliko wenye akili.
Fikiria huko Uganda, hakuna Rais aliyewahi kubebwa na kushangiliwa kama Idd Amin Dada. Wewe unafikiri Afrika limekuwa bara la giza kwa bahati mbaya? Giza linaanzia vichwani mwa walio wengi.
Si ulishuhudia hapa kwetu kuna wakati shetani alitoa amri Lisu auawe kwa risasi, na kweli alitandikwa risasi. Kila mwenye akili Duniani alisikitika, lakini kuna Watanzania walishangilia na kumsifu muuaji eti ni kiongozi jasiri.
Shangilio la mwenye akili huashiria ubora lakini shangilio la mwendawazimu huashiria aibu.
It is a mortal sin to keep on lying to yourself. Sukuma gang is such a weak and naive faction (Cf. untrained dog).Does a trained dog also pity the wolf?
Ndio!Zile za kubaki na mavi yako nyumbani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sexless hata mumewe akishindwa kusimamisha ili ampande anamsingizia marehemu MagufuliUkijifungua hilo gubu dhidi ya JPM litakwisha na utakuwa busy kulea kichanga chako
Watu wanakupenda ukifa hii ndio TanzaniaHao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa na kuwateka? Unataka kuniambia hao watu hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
That’s not what your mother said last nightIt is a mortal sin to keep on lying to yourself. Sukuma gang is such a weak and naive faction (Cf. untrained dog).
Tetesi Zina sema pesa hamna hazina huko; tusubiri hii 1.8 trilioni iingie watalipwa tuMwamba from chato mda huu angekuea chato na watumishi mngekuwa mshakura mishahara yenu mpo kujiandaa kwa X Mass,.ila hawa warabu wa zanzibar hawajui x Mass nini mpaka mda huu watumishi mnapiga mihayo tu wameondoa mazoea mliyozoeweshwa 😂😂😂
Ndo unashtuka leo?? Kuna account nyingi sana za serikali humu JF..Magufuli anachukiwa saaaana JF kuliko huko mitaani na mitandao mingine kama twitter, instagram, facebook na platforms nyingine.
Naanza kuhisi kuna IDs zimetengenezwa humu nyingi na mabwanyenye za kumchafua. Cha ajabu huko mtaani hali ni tofauti. Ukitaka uonekane mbaya muongelee vibaya huyu marehem mtaani uone kitakachokukuta.
Hizo zilikuwa propagandaHao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa na kuwateka? Unataka kuniambia hao watu hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Huoni aibuWaabudu mizimu utawajua tu
Duh kwahyo hii nayo ni sababu ambayo mmekaa ofisini pale Lumumba mkaona mkitype hivi mtatushawishi kabisa watanzaAnia Tumchukie??Lilikuwa shamba Sana hili jamaa. Lilipenda sifa za kitoto mnoooo!
Sasa kupigwa picha na.mafaili yoye haya ndiyo nini?
Ukifuatilia hotuba za IDD utagundua alikuwa raisi bora kabisa. Achana na ile muvi tafuta stori halisiAlishangiliwa na watu wa namna gani? Maana Afrika wajinga na wasio na akili ni wengi kuliko wenye akili.
Fikiria huko Uganda, hakuna Rais aliyewahi kubebwa na kushangiliwa kama Idd Amin Dada. Wewe unafikiri Afrika limekuwa bara la giza kwa bahati mbaya? Giza linaanzia vichwani mwa walio wengi.
Si ulishuhudia hapa kwetu kuna wakati shetani alitoa amri Lisu auawe kwa risasi, na kweli alitandikwa risasi. Kila mwenye akili Duniani alisikitika, lakini kuna Watanzania walishangilia na kumsifu muuaji eti ni kiongozi jasiri.
Shangilio la mwenye akili huashiria ubora lakini shangilio la mwendawazimu huashiria aibu.