Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

Wekeni na clip tuone.
 
Shangwe za marehemu tu hizo.

Kwa miila za kiafrika marehemu husifiwa hata kama alikuwa muovu.

Sasa huyu jamaa alikuwa muovu kweli kweli. Ndiyo maana hajaishi (Y. Makamba).
Ujumbe mmeupata.
 
Lilikuwa shamba Sana hili jamaa. Lilipenda sifa za kitoto mnoooo!

Sasa kupigwa picha na.mafaili yoye haya ndiyo nini?
Ukijifungua hilo gubu dhidi ya JPM litakwisha na utakuwa busy kulea kichanga chako
 
Lakini si unafahamu jinsi alivyominya haki ya kupata habari? Hao wote ni watumwa wa ujinga uliotokana na kunyimwa haki yao ya kujua ukweli juu ya uovu aliokuwa akiutendeka.
Kwani wengine habari walizipata wapi kwamba Magufuli ndio muuwaji anauwa hovyo raia?
 
Labda kwa kuwasaidia hao watanzania wenzako katika kuwatoa ujinga ungewawekea ushahidi kabisa usio na shaka kuthibitisha Magufuli alitoa hilo agizo, pengine hapo ndio wataelewa maana pengine nao wana mtazamo tofauti kuhusu kushambuliwa kwa Lissu.
 
Matendo mema hayamfanyi mtu kuwa Mungu ilo ndio kosa lake
Mungu ni mwenye wivu
 
Ukijifungua hilo gubu dhidi ya JPM litakwisha na utakuwa busy kulea kichanga chako
[emoji23][emoji23][emoji23]Sexless hata mumewe akishindwa kusimamisha ili ampande anamsingizia marehemu Magufuli
 
Hao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa na kuwateka? Unataka kuniambia hao watu hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Watu wanakupenda ukifa hii ndio Tanzania
Enzi za Magu walisema Bora JK
Enzi za Mama wanasema Bora JPM
Sasa Subir enzi za Mama ziishe ahahah
 
Tetesi Zina sema pesa hamna hazina huko; tusubiri hii 1.8 trilioni iingie watalipwa tu
 
Ndo unashtuka leo?? Kuna account nyingi sana za serikali humu JF..

Yaani propaganda zao hawana pa kuzipeleka tofauti na JF
 
Hao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa na kuwateka? Unataka kuniambia hao watu hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Hizo zilikuwa propaganda
 
Lilikuwa shamba Sana hili jamaa. Lilipenda sifa za kitoto mnoooo!

Sasa kupigwa picha na.mafaili yoye haya ndiyo nini?
Duh kwahyo hii nayo ni sababu ambayo mmekaa ofisini pale Lumumba mkaona mkitype hivi mtatushawishi kabisa watanzaAnia Tumchukie??
Mbona mmeishiwa mbinu kabisa
 
Ukifuatilia hotuba za IDD utagundua alikuwa raisi bora kabisa. Achana na ile muvi tafuta stori halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…