whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Mkia upo lakini?Huyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe😂
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe🙂
fukuza kaoe mtaaluma mkuu🤣🤣🤣 au oa vitabu na peni na majoho lkn Carleen .....niachie mm ntamuoa soon maaana daaah namtaman hatarYaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Bora asijue mwanamke akijua mambo mengi ni hatari sana tena kubaya sanaMwanamke akiwa anajua kila kitu kosa akiwa hajui kosa
Msaidizi wa majukumu ya kazi kufua nk.Mke ndio msaidizi wako, sasa iweje umletee msaidizi tena?
Au unamaanisha nimtafutie mwenzio?[emoji23][emoji23]
Unakosea bwana mkubwa usimdharau kiasi hiko cha kuita idiot..Kaa naye chini mfundishe mwambie mke wangu saiv kuna vitu vingi vyakuzungumzia vitakavyotuletea maendeleo na si kila wakat tuongee ishu izi...mueleweshe tu, mbona wanaume hamna huruma kiasi hiki...je angekuwa ni dada yako huyo anafanyiwa hivyo ingekuwaje.Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida
Uliletewa kwenye box ceiled au unaonekana ulimpata kishamba sana, u didn't table anything meaningful for discussion severally to test her brain,Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mungu akusamehe aisee. Kama ulihitaji kuoa taaluma kwanini ulimtafuta huyo binti? Tusisahau kile tulichokiona mara ya kwanza mpaka kushawishika kuoa. Mambo mengine hufundishwa tu katika maisha. Mfundishe mkeo kile unachokitaka. Acha hii tabia kabisa ndugu yangu. Calm your heart please!Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Huu sio ushauri mzuri unamuingiza chaka mtoa mada.Mpo wengi ...
Wanaume wengi wameoa miungu watu sema hawawezi kuzungumza,wanakufa na tai shingoni.....
Hapo watakuja na kukucheka kinafiki...
Dawa ni fukuza siyo type yako huyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa si wewe ndo umwelimishe?, It feel so good educating your wife about something,, unless otherwise awe mbishi,,Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana
I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu