Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Utoto bado mwingi sana ...una ratiba ya kwenda kanisani hapo hapo una ratiba ya kugonga demu

No wonder huwezi jua umuhimu wa JNNK
 
Nimecheka mno. Naona umeamua kunipiga Dongo Kiana. Haya bhana ila Jumuiya zenu sihudhurii ng'o na Mbinguni kwa Mungu Baba nitafika tu.
We mtu, hivi unajua maneno yako ya vicheshi yamesababisha maumivu makali ya mbavu za watu!.?

Utaweza kutulipa tulioumizwa na maneno yako haya Kwa kucheka mpaka kuuma Kwa mbavu?
 
Amri ya Kanisa inasema SAIDIA KANISA KATOLIKI KWA ZAKA..
hizo mambo zingine zinatoka wapi?
Wenzetu ulaya hata hiyo sadaka ya katikati ya misa hawatoi.. Kwa sababu Zaka ina fanya kila kitu..

Huku michango michango michango
Mwongo mkubwa wewe. Tumeishi kule na sadaka hizo na michango vipo. Umechoka kuwa mkatoliki hama wala hakuna atakayejali.
 
Wewe umechangia upi katika hiyo uliyo itaja hapo.
 
Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba na wachache wanaiona ! Aidha, kwenye msafara wa mamba na kenge wamo.
 
Umetumia kigezo gani kumuita mtu Coward?...Hofu zako za kidini na sheria za kanisani acha huko huko kanisani, Huku ni jukwaa huru la kutoa maoni... utofauti wa mitazamo ya kiimani sio kigezo cha kukosoa mawazo ya mtu kwa kigezo cha kanisa! ...
 
UMEMALIZA! 📌📌📌📌
 
Ukishajua uwepo wa Mungu ni hadithi ya utakatifu wa kufikirika isiyo na uthibitisho, kimsingi uongo wa kutungwa na watu tu, habari kama hizi hazitakusumbua.
 
If i am going to be honest with you ,in my own humble opinion without being sentimental of course, without offending anyone who thinks differently from my own point of view,but also by looking into this matter in distinctive perspective ,i would like to say i have nothing to say
 
Hao sio wakatoliki,niwahuni tu wameamua kuandika upuuzi tu.

Mtu anakuambia michango ni mingi anataja, Mavuno parokia na tegemeza Jimbo, ujenzi wa kanisa na sadaka shilingi miatano yake anayotoa jumamosi kwenye Jumuiya na Kanisani.

Mkristo mkatoliki mwenye akili hawezi kulalamika kwaajili ya kutoa mchango kwaajili ya ujenzi wa kanisa.
 
Genta kama JF humu una majungu huko kwenye jumuia si ndio balaa tupu
 
Tatizo ni Jumuia kupewa mamlaka Makubwa wakati zinaongozwa na watu wa kawaida kitabia, wa kawaida kiimani, wa kawaida kimwenendo, wasio na skills za Uongozi nk.
Unaweza kuyataja hayo mamlaka makubwa unayo sema??.
 
Ukilijua kanisa katoliki lenyewe lilivyo, hasa hasa huko makao makuu, Vatican sidhani kama na uiatoliki wenyewe utaendelea kuwa muumini wake. Cha msingi tu ni imani kwa Mungu, kufanya ibada na kutoa sadaka.
Acha umbeaumbea mkuu, kama unajuwa siuwekewazi hapa iliuokoe wenzako.
 
Kama nawewe nimkatoliki naumeona mazingira kama hayo umechukua hatuagani, umezungumzia hilojambo kwenye Jumuiya? amaunalileta huku nawewe uonekane umeandika.
Taratibu zakufuata ukiona jambo kama hilo umezifuata?
Kama umewaeleza wanajumuiya wenzako ama viongozi wajumuiya wakapuuza je, ulienda kumueleza paroko katika parokia yenu kwamba kuna muhitaji katika Jumuiya yenu ambae kwa ngazi ya Jumuiya hamnauwezo wa kumsaidia?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…