Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Game alikuja mwaka gani na aliondoka mwaka gani.? 😂😂😂😂Acha ubishi mkuu baada ya the game kuondoka huoni G unit ilivoyumba na 50 mwenyewe akawa hasikiki tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game alikuja mwaka gani na aliondoka mwaka gani.? 😂😂😂😂Acha ubishi mkuu baada ya the game kuondoka huoni G unit ilivoyumba na 50 mwenyewe akawa hasikiki tena!
Nilichojifunza wewe una mchukia 50 bila sababu.Unamjua OutKast au unaongea kiushabiki mkuu!
Zitaje ww mkuuUnafahamu the game amemwandikia 50 ngoma ngapi?
Outkast ni kundi (andre3000 + somebody Benjamin)sio mtu mmoja,sifa yao ni kuandika rhymes kali za hip hop kama kina common,Mos Def,talib kweli,Q tip,the Roots and the likes na nzuri sio show/perfomance kaliUnamjua OutKast au unaongea kiushabiki mkuu!
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka huyu mwamba ni balaa. Kuanzia wimbo wake wa Wema, Tina, Kibena, mshenga ahaa nimechoka kuandikaBinafsi huwa namkubali sana mwanamama Alicia keys nakibao chake cha fallin. Moja kati ya vibao vikali mno kuwahi kutoka kwake. Je wewe unamkubali msanii gani na kibao chako pendwa?
View attachment 2315568View attachment 2315569
Ningeshangaa huyu Mwamba wa hiphop T.I anasahaulika vipi kwa ngoma kali yenye ujumbe mahiri kabisa.
Unamuongelea the game yupi aloyumbisha G unit,yule alokua anauza sura kwenye video ya in da club ya 50 cent kabla G unit haijamfanyia wepesi au!?Acha ubishi mkuu baada ya the game kuondoka huoni G unit ilivoyumba na 50 mwenyewe akawa hasikiki tena!
Basi mm sibishani na wewe tena hahaha yaani nelly yule amemfunika 50??? Na kanyimbo kamoja.? Basi mkuu tuishie hapa👋🏻👋🏻Simchukii naenda na ukweli na facts wapo waliomfunika kama kina nelly akina chingy na wengineo kama kina OutKast
Huyo jamaa ananichekesha yaani ni sawa na kusema harmonize kamtoa diamond au anambeba mond. HahahahUnamuongelea the game yupi aloyumbisha G unit,yule alokua anauza sura kwenye video ya in da club ya 50 cent kabla G unit haijamfanyia wepesi au!?
👋🏻👋🏻👋🏻Acha ubishi mkuu baada ya the game kuondoka huoni G unit ilivoyumba na 50 mwenyewe akawa hasikiki tena!
50 Cent alikua balaa,kwenye nyimbo zake nyingi alikua ana rap halafu na kwenye chorus anaimba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi mm sibishani na wewe tena hahaha yaani nelly yule amemfunika 50??? Na kanyimbo kamoja.? Basi mkuu tuishie hapa[emoji1309][emoji1309]
Anashangaza,ajiulize nani aliwapoteza wasanii wa Murder INC ya Irv GOtti kwenye game!?,akikujb nitagHuyo jamaa ananichekesha yaani ni sawa na kusema harmonize kamtoa diamond au anambeba mond. Hahahah
Kwahiyo Aftermath ndo ilomtoa the Game au ni G unit ndo ilomtoa!?Game alisainiwa na dr dre kwanza acheni ubishi usio na maana na mjue alisaini g unit lini! Facts ndio nataka.
Sawa. Dre ndio alimuombea asainiwe na 50 kule G unit ili abebwe. Na akabebwa kweli maana tukitoa zile nyimbo 3 alizoandikiwa na 50 hana nyingime kali kama zileGame alisainiwa na dr dre kwanza acheni ubishi usio na maana na mjue alisaini g unit lini! Facts ndio nataka.