"Ndani kuna mabuzi, muhogo mchungu anacheza na mbuzi"Yes swadakta,hiyo ni miongoni mwa hizo nyimbo zilizokuwa zinanichekesha hasa ikifika kwenye ule mstari unaosema"aliyekuja na ngedere amtoe out maana humu ndani anazua varangati"ππππ
Hiyo T-shirt na jeans ni balaa na nusuUVC T-shirt na Jeans yalikuwaga mabenga
Mabaga Fresh wazee wa kutaabika.....Enzi hizo husikii biti ya mapiano.
AshaTID mnyama nakataa. Enzi zake tumeenjoy sana mziki wake.
Zeze
Girlfriend
Mtanzania pekee
Rahisa
Siamini... etc. Kati ya wasanii walokuwa hawakosei wakipiga ni TID.
Amini mkuuUko sahihi vijana wa siku hizi wameacha kabisa kuangalia contents za msanii wanachoangalia ni mafanikio ya msanii na jinsi anavyotrend mitandaoni yaani hata kama anaimba matusi tu basi huyo ni muimbaji mzuri kwao.
Kwa mfano kwa sasa msanii akijiunga tu na Wasafi basi huyo anaonekana ni mwimbaji bora hata kama anachoimba ni utopolo
Ila mnawavyoakandaKazi kuvua mashati kwenye video zake
Yaani Jux akichora tatoo mpya tu shida na akihudhuria Gym week nzima anafosi atoe nyimbo mpya ili aoneshe alivyogain muscles ndani ya hiyo week
Yaani hamna kitu pale. Afadhali ya lavalava.ππππ Chui
πππππππ"Ndani kuna mabuzi, muhogo mchungu anacheza na mbuzi"
Halafu kuna kidemu mle kinarusha kiuno kiselasela na khanga yake
Yeah wanaiga tu beat kali za Amapiano ila kinachoimbwa cha maana hakuna.Amini mkuu
Hivi kina Chino sijui chinawaman, jaiva, mabantu wanaimba nn
Ukisikiliza nyimbo zao hakuna rhymes, hakuna rhythm ,hakuna ujumbe
SahihKwenye hip hop wako wengi ila Gaidi la rap King Izzy, Joh makini, Fid Q, Darrasa, FA naomba wasiguswe waachwe na muziki wao.
Hao wanajua wanachokifanyaSahih
Mbona mi mazee mpango wangu safiOya we vipi,mpango wako vipi!?
Aisee nimecheka na hiyo njagara njagaraDully syks nyimbo zake hazieleweki kabisa.yaani anaimba maneno mengine hata yeye hayajui.mfano Kuna wimbo siufahamu anaimba Njagara Njagara ooh ooh.
Unaujua mziki.Hao wanajua wanachokifanya
Best naso hapana kwakweli, hizo hela anapeleka studio bora angekua anakula nyama choma ajenge shavu
Muziki mzuri ilaUnaujua mziki.
Kuna huyo kwa dp yako ni kichwa kinoma, niki wa piliKwenye hip hop wako wengi ila Gaidi la rap King Izzy, Joh makini, Fid Q, Darrasa, FA naomba wasiguswe waachwe na muziki wao.