Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Nitafanyaje ,analeta mapozii,yule yule yule ,mama K
 
Msinipige mawe fans wao 😁

1. Young Lunya, nimejitahidi lakini wapi, vile anatumia speed kuficha weak bars na style yake ya kurap kama anataka kutapika kama version flani ya trap.. Niiteni hater tu 😁

2. D Voice & Mac Voice

3. B2K

4. Mabantu... Hawa naheshimu mafanikio yao kwa kutengeneza club bangers, japo na Matusi yanawasaidia sana, Ila masikio yangu yanachelewa kukubali muziki tricky tricky
 
Nakuunga mkono 100%. Hiyo namba 2 ni takataka kabisa.
 
Duh! Ni vile naheshimu msimamo wako. Ila kumkataa AY inabidi uwe kauzu kama kitu gani sijui.

Ova
 
Em isikilize current situation - YN ft Country wiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…