inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Sugu ana album 13,kila moja Ina nyimbo 12,kila moja Ina wimbo mmoja wa mapenzi,we unazungumzia sugu gani!?..unajua nyimbo zake ngapi!?Na Mr.II aka Sugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu ana album 13,kila moja Ina nyimbo 12,kila moja Ina wimbo mmoja wa mapenzi,we unazungumzia sugu gani!?..unajua nyimbo zake ngapi!?Na Mr.II aka Sugu
Bestnasoro ana nyimbo nzuri TU 😊 mbonaaKabiasa mkuu, ila best naso sijawahi kumuelewa kbs
1994 alitoa 'cheza mbali na kasheshe' akashuti na video,akiwa gwmKuna mzee mwenzetu wa kuitwa sijui Kr mulard jibaba mzimu duuh anaimba kama anaongea yule mjamaa
Mchiz moxOya we vipi,mpango wako vipi!?
Sirudi igunga na majanga huzielewi?!Shilole
Luludiva
Snura
Ibra wa harmonize
Yake hayakua mapenzi wa sugu ni Bora kuliko yalaiti,wimbo unaokuvutia kwenye kiitikio kilichorudiwa toka kwenye wimbo wa sitti bint saada aliyekufa 1960 na kurudiwa na bi kidudeExactly, flow na tone zake zipo relaxed ndio maana sidhani kama kuna hip hop artist ametoa best love songs kama yeye, kuanzia yalaiti, zamani na kiboko yangu..
Na pia jamaa anajua kucheza na lugha kwenye njia ambayo ipo relatable na watu wengi. Ukisikiliza dume suruali hadi gwiji, utaona hicho kitu. Ni kama anaimba kitu ambacho anajua kitatugusa tu.
He is an all time hit maker na mimi ni fan wake toka nikiwa young hadi leo
Msanii kama simkubali simkubali tuu hata kama ana album mia na nyimbo 40 za mapenzi. Namuonaga Sugu yuko overated sana ila ni MC wa kawaida sana ki uandishi na flow.Sugu ana album 13,kila moja Ina nyimbo 12,kila moja Ina wimbo mmoja wa mapenzi,we unazungumzia sugu gani!?..unajua nyimbo zake ngapi!?
Mikononi mwa polisi,wanakuita sugu,dar es salaam, ndani ya bongo,kwa penzi,makini na fani,chini ya miaka 18,Hali halisi,deiwaka,Msanii kama simkubali simkubali tuu hata kama ana album mia na nyimbo 40 za mapenzi. Namuonaga Sugu yuko overated sana ila ni MC wa kawaida sana ki uandishi na flow.
Sijawahi hata kuzijuwaSirudi igunga na majanga huzielewi?!
Sirudi igunga na majanga huzielewi?!
Wakazi sijui hata nyimbo yake mmoja yule muamerikaWakazi
who's passing around between my interview? why?[emoji38][emoji38]TID CHAPOMBE.....TAKATAKA