Je Kama mmekutana tu hamfahamiani kabisaaAnyway niseme unaweza kupelekwa hata siku ya kwanza inategemeana na mazingira maana what if kama mmepanga nyumba Moja au mko mtaa mmoja na unapajua kwake si unaweza hata ku "surpriiiiiiiise"
Ok ila wadada wengi tunaamini mwanaume kukupeleka kwake ni upendoKuna comment zinachekesha. Kupelekana home inategemea na malengo au anavyokuchukulia.
Kama akiona ni wife material, wiki au mwezi utakaribishwa home. Akiona ni gold digger, hit&run itahusika kwenye maeneo nje ya home.
Inabidi pia kuwa mvumilivu sababu kuna wengine wapo slow kwenye kufanya maamuzi, anaweza kumchukua muda mrefu even mwaka kufikia uamuzi kwamba "yes huyu ndiye". Just chill
Kwamba mnazima taa mnawasha sabufa kitu disco light 😂😂😂yani ni mnazima zooooote mnawasha sabufaUnakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
Na muziki wa rege 😅😜Kwamba mnazima taa mnawasha sabufa kitu disco light 😂😂😂yani ni mnazima zooooote mnawasha sabufa
Gheto lina picha picha ukutani za 50 Cent 😜Kwamba mnazima taa mnawasha sabufa kitu disco light 😂😂😂yani ni mnazima zooooote mnawasha sabufa
Ndugu yangu ki ukweli mapenzi hayana muongozo hata kidogo kama nilivyokwambia inawezekana hamjuani kabisa na ukaletwa ndani day one au mnajuana kabisa tena vizuri TU na bado ukachukua miezi hata 6 kuletwa ndaniJe Kama mmekutana tu hamfahamiani kabisaa
Na age ni 45!Gheto lina picha picha ukutani za 50 Cent 😜
Kweli kabisa,wanawake wa siku hizi wengi.ni makahaba ni hatari kupeleka nyumbani kwako kahaba.Inategemeana mda wa uchunguzi kukamilika,
Wanawake ni kama mabomu na yametofautiana tabia zake
Unaogopa nini kumuomba mpenz wako akupeleke kwake au anapoishi?Je mwanamke akiomba apelekwe kwa mwanaume inafaa
Ndio ni upendo. Ila pia kama hajakuonesha kwake haimaanishi hakupendi, inawezekana anafanya maamuzi slow slowly.Ok ila wadada wengi tunaamini mwanaume kukupeleka kwake ni upendo
Ha ha ha....nchi ngumu Sana hiiUnakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
Be grateful hujaogea sabuni ya Eva😁Unakuta mtu ana miaka 45 lakini anakupeleka kwenye gheto la kijana wa miaka 22 lina Sabufa ya kumulika mulika anajifanya lake.
It depend kuna mtu unamuona uyu kwa jinsi alivyo akipajua kwangu atanisumbua sanaKama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
Kwanza kwanini mziniiiiiii alafu ndo mpelekane mahome.Kama mnavojua tunakutana tukiwa watu wazima tuliokulia mazingira tofauti..
kabila tofauti mikoa tofauti, hivyo hatujuani wala kufahamiana tunaanzisha tu mahusiano
Natamani kujua ni kwa muda gani mkishakuwa na mahusiano mwanaume anapaswa kukupeleka nyumbani kwake anapoishi ili upajue
Na je Kuna ubaya wowote kama utamwambia akupeleke nyumbani kwake upajue hata kama mna mwezi mmoja wa mahusiano
Wengine wamekuwa wakidate na watu ambao hawajawai kufahamu muhusika anapoishi
Napenda kujua hili especially kwa wanaume ni kwa muda gani mnapeleka wanawake kwenye hizo ghetto zenu
😂 Wakiamua hata umuamini vip siku ukimuoa tu!! Mbanga inaanzaMiezi 12 inatosha kumuamini mwanamke na kumpeleka nyumbani.