Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Mimi siwezi acha nguo kwa mwanaume never.. ukutane na limwanaume halijatulia ni kuingiza wadada tu wakiniroga je kupitia nguo nilizoachaa je
 
Unaogopa nini kumuomba mpenz wako akupeleke kwake au anapoishi?
Shida nini, haujiamini au.
Unadate vp au unakuwa vp na mahusiano serious na mtu na hamjuani mnapokaa?
Uwezi kusema ni mahusiano seriously na ndio kwanza mna mwezi angalau baada ya miezi3 maana maigizo kwa asilimia 69 huwa yanapungua
 
Ooh sauwaa
 
kwaiyo iyo mbususu unampea Gest kila siku au
 
Siku hiyo hiyo mkikubalina kuwa wapenzi
 
Kama nitahisi nitakua salama mikononi mwake hata siku hiyo hiyo nampeleka geto!neno mikononi mwake Lina maana pana sana!!!

Ukiona anasita ujue Bado hujafikia viwango fulani labda ufosi tu!!
 
Kama nitahisi nitakua salama mikononi mwake hata siku hiyo hiyo nampeleka geto!neno mikononi mwake Lina maana pana sana!!!

Ukiona anasita ujue Bado hujafikia viwango fulani labda ufosi tu!!
Sawa mkuu acha tuone panapovuja
 
Sawa mkuu acha tuone panapovuja
Sisi wanaume tunaogopa sana kuoa asikwambie mtu!nani anapenda ghafula kuwa na familia tatu za kuhudumia!!?yaani familia yake,kwao na kwenu!!?

Ndoa mwanamke ndio anaipigania Hadi kinaeleweka coz muda unaenda na anaing'ang'ania kama anaona huyo Me Ana potential fulani!

Ukisubiri protocol zifatwe utachelewa sana!Kwa usawa huu nani anataka kuoa zaidi ya kucheza game na Sheria ya ndoa ilivyo mbaya!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…