Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Wewe noma sana aiseeAnayedharau ndoto namuona hana maana kabisa,ndoto zina ujumbe,mke wangu mimi hawezi zini bila ya mimi kujua hadi mwenyewe anajishitukia,hawezi fanya chochote chenye mashaka kwangu bila ya mimi kujua,na hakuna jambo linakuja kwangu bila ya mimi kuliona kabla. Wife amewahi kutongozwa na jamaa wawili tofauti nikamwambia hadi na namba zao hakuamini wakati alifanya siri ,asante mungu wangu kwa hiki kipawa.
Mtoa mada njoo inbox nitakuelekeza dawa ya kienyeji ya kuoga kwa maji moto hali yako itarudi,hii ni bure sikuombi hata kumi.
Ila uwe usukumani,huku ndo inapatikana hiyo dawa
Bob Manson
Usiniambie mpendwa,so kimenuka auna ndo imetokea patashika leo kazin aseeeee 🙌🏾🙌🏾
Kumbe shida ni kumbukumbu basi hapo haina haja ya kumuone dakta.Nalala naota, ila sikumbuki niliota nini.
Kuhusu kuishi, naishi pekeyangu
Mjomba natafuta Dawa Muhuni yoyote akinitombea mke wangu kombeo yake igeuke barafu au mti ya muanzi asiweze kukojoa kabisa mkojo, naomba HIO Dawa nitailipia gharama yoyoteAnayedharau ndoto namuona hana maana kabisa,ndoto zina ujumbe,mke wangu mimi hawezi zini bila ya mimi kujua hadi mwenyewe anajishitukia,hawezi fanya chochote chenye mashaka kwangu bila ya mimi kujua,na hakuna jambo linakuja kwangu bila ya mimi kuliona kabla. Wife amewahi kutongozwa na jamaa wawili tofauti nikamwambia hadi na namba zao hakuamini wakati alifanya siri ,asante mungu wangu kwa hiki kipawa.
Mtoa mada njoo inbox nitakuelekeza dawa ya kienyeji ya kuoga kwa maji moto hali yako itarudi,hii ni bure sikuombi hata kumi.
Ila uwe usukumani,huku ndo inapatikana hiyo dawa
Bob Manson
yaani kimenuka na kunukia,, nasubiri tu muafakaUsiniambie mpendwa,so kimenuka au
Jaman pole sana mpendwa,,, mungu akusimamieyaani kimenuka na kunukia,, nasubiri tu muafaka
Amina,,sema nilkokua mwenyewe kulishanuka kitambo,,ila kwa leo kuna mtu anasimamia kazi fulani ivi naona nako kunanuka🙌🏾🙌🏾Jaman pole sana mpendwa,,, mungu akusimamie
Daah, zangu dua mpendwa wanguAmina,,sema nilkokua mwenyewe kulishanuka kitambo,,ila kwa leo kuna mtu anasimamia kazi fulani ivi naona nako kunanuka🙌🏾🙌🏾
Zitanisaidia mengi tu, kwangu zina umuhimu.Serious unauliza ufanye nini? Ukizikumbuka zitakusaidia nini?
Amiiin🤲🏾Daah, zangu dua mpendwa wangu
Nikilala lazima niote, ila asubuhi memory inakuwa emptyEmu jaribu kulala tena tuone km hautaota
Nikupe Dawa?Nikilala lazima niote, ila asubuhi memory inakuwa empty
Bora nisikumbuke kama ni hivyo, mkuu wewe utakuwa unafuga majini kabisa.Nikupe Dawa?
Tafuta Ngozi ya Chatu Jike, Kucha ya Simba, Jino la Tembo, Machozi ya Samaki, mlete Sisimizi mwenye mapengo, Jogoo mwenye Matege, Ushuzi wa Nyegere weka kwenye Chupa au kibuyu na Kunguru Jike mmoja
Ukileta hivyo ikitengenezwa Dawa utaanza kukumbuka
Unataka kukumbuka au hautaki kukumbuka? Utakimbizwa ndotoni unaamka unajihisi unakimbizwa memory inasoma unakimbizwa kwenye majaruba ya Mpunga non-stopBora nisikumbuke kama ni hivyo, mkuu wewe utakuwa unafuga majini kabisa.
Sitaki kukumbuka, hayo mauza uza baki nayo tu kaka 😂Unataka kukumbuka au hautaki kukumbuka? Utakimbizwa ndotoni unaamka unajihisi unakimbizwa memory inasoma unakimbizwa kwenye majaruba ya Mpunga non-stop
SawaSitaki kukumbuka, hayo mauza uza baki nayo tu kaka 😂
Sasa kaka machozi ya samaki nayapata vipi, si mtihani huoSawa
Baada uniulize unapataje Kucha ya SimbaSasa kaka machozi ya samaki nayapata vipi, si mtihani huo