Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Ni muda sasa sijawahi kumbuka ndoto yoyote niliyoota

Huwa nawashangaa sana watu wanao sema ndoto hazina maana,wanaona hazina maana kwakuwa huenda hawapati tafsir ya moja kwa moja

Mama watoto wangu ndoto zake nazo huwa ni kweli kabisa,tena kuhusu misiba ndio balaa,kuna wakati aliniambia ameota kuna msiba kwetu na kweli kesho yake napata taarifa ya msiba

Binafsi nikiota kitu nakipata basi ujue sipati,yaani ni vise versa,,kwa mfano kuna siku niliota boss wangu ananipa hela mingi,na ikatokea situation nikahitaji hela ile kumwambia alinitosa katoa sababu kibao,,,kuna mchongo wa kazi ulikuwa na connection nzur ilikuwa ni swala la kuingia mzigoni,nikaota nipo kazini tayar matokeo yake sikupata hiyo kazi

Inawezekana wao huwa hawaoni wala kupata chochote katika ndoto.
Mie kuna kipindi ilikua ni zaidi ya ndoto asee ile no maono, sema nikawa nikinywa pombe inakua haitokei tena, possible niliharibu mwenyewe....nilikua naota vitu kesho yake ni kile kile nilichoona ndotoni.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanao sema ndoto hazina maana,wanaona hazina maana kwakuwa huenda hawapati tafsir ya moja kwa moja

Mama watoto wangu ndoto zake nazo huwa ni kweli kabisa,tena kuhusu misiba ndio balaa,kuna wakati aliniambia ameota kuna msiba kwetu na kweli kesho yake napata taarifa ya msiba

Binafsi nikiota kitu nakipata basi ujue sipati,yaani ni vise versa,,kwa mfano kuna siku niliota boss wangu ananipa hela mingi,na ikatokea situation nikahitaji hela ile kumwambia alinitosa katoa sababu kibao,,,kuna mchongo wa kazi ulikuwa na connection nzur ilikuwa ni swala la kuingia mzigoni,nikaota nipo kazini tayar matokeo yake sikupata hiyo kazi



Nachokiona kwako ndoto zinazotimia ni zile symbolic dreams

Ila Mimi kwangu tofauti nikiota jambo Kama kazi , lazima niipate

Na nikimuotea MTU jambo kuwa katoboa lazima atoboe hii huwa ni kawaida Sana.

Pia wakati nasoma ilikuwa inanitokea Sana .

So Mimi symbolic dreams na dreams za kawaida zote huwa zinaleta majibu sahihi.
 
Sivuti mjani, ndoto naota ila nikiamka ndyo sikumbuki
Yani ww n kama mm tu! Days be4 hili tatizo nilikuwa naota hadi mambo ya kesho yangu yatakuwaje, nitakutana na nan au nitafanya nini au nini kitatokea kesho au siku za mbeleni. Na ndoto zangu zilikuwa very straight! Hadi shule nilikuwa naota hadi mitihan kuwa swali fuln nitalikuta kwenye paper. Kuna kipindi niliambiwa na jamaa yangu kuwa ndoto nazoota niwe naziweka siri yani nisiwe nawambia watu kwa madai kuwa kufanya hivyo najiweka hatarini sana na nguvu za giza. Nilimpuuza ila baada ya saiz kushindwa kukumbuka chochote nimeanza kupata mashaka. Mm sasa hivi naweza kuota ndoto uck nikakaa kitandani kabisa ili niihifadhi hiyo ndoto ila nikilala tena nikaamka hata nifanyaje sikumbuki kabisa. Nitakumbuka niliamka uck ili niihifadhi ndoto hiyo lkn wapi. Wengine humu mnaweza kudhan hii haiwezekani ila mm ndiyo hali niliyofikia. Saiz ili niikumbuke ndoto ambayo nikiota uck nikabahatika kuamka uck huo huo basi lazima niihifadhi kwa njia ya maandishi🤔, amini kila kitu kiliumbwa kikiwa na maana yake! Hakuna kilichoumbwa alafu hakina maana. Ukiona hakina maana basi ujue ww ndo hujui maana yake.
 
Hiyo ni vice versa....

It is a very good omen to see coins in a dream—they symbolize good luck, wise decisions, harmony, and good opportunities. It also indicates that the dreamer will reap the rewards of his/her hard work. On the other hand, seeing paper money indicates anxiety, greed, worries, and selfishness.24 Oct 2023
Ngoja nikairudie ndoto yangu 😂
 
Inawezekana wao huwa hawaoni wala kupata chochote katika ndoto.
Mie kuna kipindi ilikua ni zaidi ya ndoto asee ile no maono, sema nikawa nikinywa pombe inakua haitokei tena, possible niliharibu mwenyewe....nilikua naota vitu kesho yake ni kile kile nilichoona ndotoni.
Yaani ulizima maono yako kwa pombe,,ulikwama wapi mpendwa
 
Mie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....

Nilishajifunza kitambo huwa sipuuzii ndoto zangu kabisa. Kuna siku niliota ugomvi yani kila nilichokiota kesho yake kilikua kama nilivoona ndotoni.
Ok good
 
Nachokiona kwako ndoto zinazotimia ni zile symbolic dreams

Ila Mimi kwangu tofauti nikiota jambo Kama kazi , lazima niipate

Na nikimuotea MTU jambo kuwa katoboa lazima atoboe hii huwa ni kawaida Sana.

Pia wakati nasoma ilikuwa inanitokea Sana .

So Mimi symbolic dreams na dreams za kawaida zote huwa zinaleta majibu sahihi.
Safi sana,,uko vizur
 
kuzidisha maombi wakati wa kulala na kukemea
Sio KUKEMEA. Ni KUJIZATITI.

Unajua maana ya KUJIZATITI???

You FORTIFY yourself, UNAKITA NGOME NA MIPAKA.

Lazima uwaoneshe MIPAKA baina yako na wao, na wakae kabisa wakitambua HILO na walitambue kwa DHATI bila masihara.

Hii ni SHERIA ya ulimwengu. Sheria ya UHURU kwa kila MJA.

Ukishasema SITAKI hata Mungu mwenyewe hawezi kukusogelea. UNAKITA NGOME mpaka pale utakapoamua VINGINEVYO.

Cc: min -me Extrovert
 
Habari za asubuhi wadau

Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja.

Ni muda mrefu sina kumbukumbu ya ndoto yoyote ile, naota ndoto zaidi ya tatu lakini asubuhi ifikapo nikijaribu kukumbuka nashindwa.

Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida tu? Ni zaidi ya miaka mitatu sasa nimekuwa na hali hii. Nifanye nini?
Uko kwenye hatari kubwa,

Miaka mitatu usikumbuke ndoto yoyote?

Huwa unatumia pombe kabla ya kulala? Maana hata walevi hutoa na kukumbuka ndoto.

Si Kila siku utaota ndoto, lakini kumaliza wiki, mwezi usiote ndoto, au yote ndoto na usikumbuke, Hilo ni tatizo,

Ni kama vile connection kati ya NAFSI na Mwili na Roho imekuwa hacked,

Kama Huwa huendi Kanisani, Anza kwenda na udumu katika maombi kabla ya kulala uombe kurudishiwa mawasiliano Yako na macho Yako yatumikayo Ulimwengu wa Roho wa NDOTO Ili upofu uondoke, ukumbuke ndoto na kuona vizuri katika Ulimwengu wa Roho wa NDOTO.

Ubarikiwe, na Mungu akusaidie kufaulu kupata ukiombacho. Amen
 
Yani ww n kama mm tu! Days be4 hili tatizo nilikuwa naota hadi mambo ya kesho yangu yatakuwaje, nitakutana na nan au nitafanya nini au nini kitatokea kesho au siku za mbeleni. Na ndoto zangu zilikuwa very straight! Hadi shule nilikuwa naota hadi mitihan kuwa swali fuln nitalikuta kwenye paper. Kuna kipindi niliambiwa na jamaa yangu kuwa ndoto nazoota niwe naziweka siri yani nisiwe nawambia watu kwa madai kuwa kufanya hivyo najiweka hatarini sana na nguvu za giza. Nilimpuuza ila baada ya saiz kushindwa kukumbuka chochote nimeanza kupata mashaka. Mm nadhan n ww mtoa post pri max. Mm sasa hivi naweza kuota ndoto uck nikakaa kitandani kabisa ili niihifadhi hiyo ndoto ila nikilala tena nikaamka hata nifanyaje sikumbuki kabisa. Nitakumbuka niliamka uck ili niihifadhi ndoto hiyo lkn wapi. Wengine humu mnaweza kudhan hii haiwezekani ila mm ndiyo hali niliyofikia. Saiz ili niikumbuke ndoto ambayo nikiota uck nikabahatika kuamka uck huo huo basi lazima niihifadhi kwa njia ya maandishi🤔, amini kila kitu kiliumbwa kikiwa na maana yake! Hakuna kilichoombwa alafu hakina maana. Ukiona hakina maana basi ujue ww ndo hujui maana yake.




jaribu meditation na uweke concentration katika mambo machache.

Yawezekana uwezo unao Ila kichwani umekuwa na mambo mengi Sana

Jaribu meditation
 
Back
Top Bottom