Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Njoo na Ushuzi wa Nyegere The Stress Challengerr atakusaidia jinsi ya kuupataAu wewe ni mmasai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo na Ushuzi wa Nyegere The Stress Challengerr atakusaidia jinsi ya kuupataAu wewe ni mmasai?
Sasa umefufukaHata mimi kabla ya kufa nlipata hii shida
Mkuu up nyumbani au umepoa maeneo unapata mbili tatu?Hata mimi kabla ya kufa nlipata hii shida
Nyumbani kwake wapi makaburini?Mkuu up nyumbani au umepoa maeneo unapata mbili tatu?
Chukua chumvi ya mawe kiganja kimoja tia kwenye ndio ya maji kaoge kabla ya kulala usikuSo what can I do to remember my dreams
Mwisho utamwambia achukue pande la Mkaa aweke Chini ya Mto wa kulalia kichwaniChukua chumvi ya mawe kiganja kimoja tia kwenye ndio ya maji kaoge kabla ya kulala usiku
Sipendi comedy kwenye vitu seriousMwisho utamwambia achukue pande la Mkaa aweke Chini ya Mto wa kulalia kichwani
Ni serious Comedy SIO ComedySipendi comedy kwenye vitu serious
Mkuu unaharibu uzi, Hii dunia ni kubwa na bado tunaendelea kujifunza ili tuijue zaidi... Kuna ndoto zina maana kubwa sana katika maisha yetu.... Nikupe tafakuri kidogo, Hivi unahisi ni kwanini Nikola Tesla alikuwa akizunguka nyumba mara tatu kabla ya kuingia ndani? Bado hatujafahamu formula za ulimwengu. Ila tukija kuzingundua maisha yatakuwa mepesi sanaNi serious Comedy SIO Comedy
Sawa kabisa, kweli napaswa kufanya maombi juu ya hali hii, inanifanya nakosa amani.Ombea ufahamu wako.. wa mwilini na rohoni...
Ndoto ni jambo la muhimu sana zipo taarifa unapewa kwa njia ya ndoto hivyo adui akikuwahi anakusahaulisha. Ombea ufahamu hivyo tu
anza hapo uoneSawa kabisa, kweli napaswa kufanya maombi juu ya hali hii, inanifanya nakosa amani.
Nikwambie kitu mkuu, HUKO kwenye Mambo hayo ya mauzauza nilishatokaga zamani the more you go the more you get the more you give, tell me Nikola Tesla alikufaje? Km kweli umemsoma na kumjua niambie alikufaje Kifo chake kilikuaje kuaje?Mkuu unaharibu uzi, Hii dunia ni kubwa na bado tunaendelea kujifunza ili tuijue zaidi... Kuna ndoto zina maana kubwa sana katika maisha yetu.... Nikupe tafakuri kidogo, Hivi unahisi ni kwanini Nikola Tesla alikuwa akizunguka nyumba mara tatu kabla ya kuingia ndani? Bado hatujafahamu formula za ulimwengu. Ila tukija kuzingundua maisha yatakuwa mepesi sana
Hii hali hunitokea sana mimi pia, sometimes inaniogopesha though on other side namshukuru Mungu kwasababu huwa nachukua hatua mapemaMie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....
Nilishajifunza kitambo huwa sipuuzii ndoto zangu kabisa. Kuna siku niliota ugomvi yani kila nilichokiota kesho yake kilikua kama nilivoona ndotoni.
I don't know indeedSasa mkuu unadhani sababu yaweza kuwa nini hasa
Fanya sana Ibada, badili mfumo wa maisha na utoe sana Sadaka na Zaka.JApo ningetaman unisaidie kufafanu zaid, lakin usimacho kinaweza kikawa kwel, maana siku ya 3 yake, nikashtuka tena usiku moyo/roho inauma sanaa, kesho yake ikatokea ile ajali ya mbeya (hii ya juzi hapa) and my blood brother alikua mmoja wapo wa waliokuwepo kwenye ajali ile, hali yake badi si nzuri yuko icu mpaka sasa.
Sina uhakika kama kuna connection na those 3 days of dreaming
Yesss! Wapo wa design hiyo... Kwakweli hasa wanawake.Mie naota halafu zinakua na maana kabisa, yani nnayoyaota yanatokea....
Nilishajifunza kitambo huwa sipuuzii ndoto zangu kabisa. Kuna siku niliota ugomvi yani kila nilichokiota kesho yake kilikua kama nilivoona ndotoni.