En vino Veritas....tafsiri....wanadai ndani ya pombe kuna ukweli.Kwanini tuongoze dini za kufikia kwani zetu zina shida gani? Zina mapungufu gani?
Bado naona dini zetu ni bora na imara zaidi mara 1000 kuliko hizo dini zingineView attachment 2821842
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana ndugu......wazungu ni DIABOLICAL.....jamii ya kishetani.Dini imebakizwa kwajili yetu waafrika yafaa viongozi wake wawe waafrika.
Huko kwa wazungu wengi wamezikimbia dini, kanisani kwenda huwa ni wazee, hata rais anaenda mara moja moja matukio maalum sio kama huku Afrika karibu kila mwezi lazima rais aende, vijana nao utawakuta na biblia mikononi siku ya jumapili, hali ni tofauti sana kwa wazungu ambao kwa vijana kanisani ni kwenye kuoana na kuzikana pekee
Wazungu kwa sasa hali ya maisha yao inaafikiana na maagizo ya Mungu na yeyote anaediriki kupinga mtindo wa maisha yao anaonekana muovu huko nchi zao, mfano mashoga na wasagaji na watu wanaobadili jinsia wanalindwa mnooo, yani ukidiriki kuwakashifu waweza onekana zaidi ya gaidi, mambo ya sex education yanaruhusiwa hata kwa watoto ikiwemo kuwafundisha kujiridhisha kwa mikono, watoto wana maamuzi ya kuamua kubadili jinsia na ole wako mzazi umpinge, mzazi huruhusiwi kumchapa mwanao hata kwa kanga.
Nachoona hii dini kwa wenzetu ishaingizwa zaidi na utamaduni wao, na ndio maana hata papa huwa anaogopa kuzungumzia mambo flani ama nae tayari yumo humo anatetea.
Ilianza kidogo kidogo papa anakaa meza moja na wanaume wanaoingiliana wanaotaka kuwa wakristo huku bila kuacha hio tabia ya kupekechana wanaume kwa wanaume, Panya ukimpa siagi atahitaji na maziwa !! leo hii ni ruksa kwa wanaume wanaoingiliana kingono kunatizwa na kuwa wazazi watakatifu, kifuatacho ni wao kudai haki za kupewa nafasi za uongozi waingize zaidi mambo yao kwa kizazi kibichi cha kuanzia 2010, mambo haya yote hatuwezi kumlaumu papa pekee bali ni mfumo wa maisha ya wazungu ambao wengi walishaachana na mambo ya dini ila dini imebaki kupush ajenda za utamaduni wao duniani, waathirika wakubwa wanakuwa waafrika ambao wapo mstari wa mbele kwenye kufuata misingi ya dini ya kikatoliki.
Ni wakati sasa wa dini hii iongozwe na sisi waafrika tunaoiwekea bidii zaidi
AGITATOR NORMET[emoji23][emoji23]Hizi dini za kimila hazina tofauti hizo za waabudu mashetani.
Uzuri wa mungu atoi adhabu pale pale pindi unapofanya tu kosa1. Tunaiwekea bidii hiyo dini, imetupeleka wapi?
2. Hao mashoga, wasagaji na wanaobadili jinsia kama wanamchukiza Mungu sana, mbona anaruhusu uwepo wao?
haya ni maswali ya msingi unatakiwa ujiulize
Kweli kabisa hakuna kwenye nafuu. Unakuta ustaadhi anawarawiti wanafunzi wakeUislam si dini ya maana, wacha kujidanganya.
Usichokijua unawezaje kukitolea a short description kama hyo ya kwako??Hivi Mecca kuzunguka lile kaburi ile si ibada ya mizimu kweli, sasa si bora nikaangalie kaburi za babu yangu?
Huku nako Papa anahalalisha ushoga, taabu tupu.
Una akili sanaSaivi nikiamua kutoa sadaka naenda Kwa wasio jiweza. Mwaka Jana nili mnunulia mama mmoja vitenge wao wanaita java pair 3 na Hela 20k yule mama alito machozi huwezi amini alilia sana akisema Mungu hajanijalia mtoto lkn Leo hii amenipa mtoto huyu alishukuru sana. Nilikuwa na pikipiki nikamuaga akasema chukua kuku yoyote bandani humo ukale na wajukuu zangu ...kwangu ukawa mtihani mwingine nikakataa akachukua jogoo kubwa sana nikapewa kutokana na maneno Yale kuongea Kwa sauti ya juu mama mmoja akawa amekuja akaniambia chukua Wala usikatae. Nikachukua!
Baada ya siku kama mbili akaenda kuwashuru wazazi wangu Tena japo nilkuwa sijawaambia nao kawashukuru huku analia. Baada ya mavuno kaniitia karanga debe2 Tena.
Hivo sadaka zangu nawapa watu ambao naona huyu ni mhitaji na hata hospital Huwa naenda sema ndo Nina awamu2 naenda hospital nimejifunza huko ukienda uende umefungasha hasa at least Kwa mwaka mara1 hivi
Admin naomba hii sms uiwekee sheet protector, "tunajiita tuna Uzalendo na tunawachukia Mabeberu" sijui bila Marekani inawezekana, sijui story gani ila "tuna abudu dini zao, tunafuata mambo yao, tunasubiri Rumi itamke nini cha kuabudu, tunasubiri Barmingham watoe tamko, tunasubiri Berlin itoe tamko!Si Wakatoliki, Waanglikana, Wasabato, Walutheri wala Waislam watakubali kuwa na kiongozi Mwafrika hata siku moja, it will never happen. Ni ujinga wetu tu sisi Waafrika kufuata dini za watu ambazo hazina umuhimu wowote maishani mwetu sie Waafrika.
Nimeshastuka miaka Saba. HiiUna akili sana
Neno, ila Warumi, Waingereza na Wasaudia [Waaraabu] na WAjerumani wa Kitanzania wakiamka hapa utatukanwa sana, wanakwambia ni fumbo la imani na kila mmoja anakwambia dini yake imeshushwa toka juu.Wewe ndo hujui,jiongeze ikiwa aliyekuleteeni hiyo dini yeye kaenda tofauti na alivyowaamisha hutambui tu kuwa alichokuletea siyo,achanana dini zao rudi kwa dini zako za asili
Alafu anatokea mtu anakuambia kama hautoi kwenye makanisa hamna kitu😁😁😁Nimeshastula miaka Saba. Hii
Huwa tunakutana nao wananiuliza habar za kubatiza Watoto wangu nawaambia akikua atabatizwa mwenyew halafu bila aibu wanasema vipi akifariki atazikwaje[emoji23][emoji23]Alafu anatokea mtu anakuambia kama hautoi kwenye makanisa hamna kitu[emoji16][emoji16][emoji16]
Mungu anachukizwa na mashoga ndio maana aliangamiza Sodoma na Gomorahujajibu swali, nimeuliza, kama Mungu anachukizwa na mashoga kwanini anaruhusu uwepo wao? uwezo wa kuwaondoa si anao?
Kusaidia wasio jiweza ,bila hata kutegemea utoe ili upate kitu( kubarikiwa) ,kunakufanya uwe na furaha tu , hakuna kitu kizuri kama watu wakifurahia uwepo wako apa duniani hata kama ni kwa kiasi kidgo tu.Huwa tunakutana nao wananiuliza habar za kubatiza Watoto wangu nawaambia akikua atabatizwa mwenyew halafu bila aibu wanasema vipi akifariki atazikwaje[emoji23][emoji23]
Nabaki kucheka kimya kimya yaani nisizike mwanangu[emoji24]
Kama wasipokubali basi hii dini ni ya mchongoYaani wazungu wakubali kuwa na papa mweusi?
Kama MUNGU anachukizwa na dhambi kwanini anaruhusu ziwepo siana uwezo wa kuziondoa?Mungu anachukizwa na mashoga ndio maana aliangamiza Sodoma na Gomora
Hawanaga akili na kinachowafanya waafrikana wengi ni kuogopa kutokuzikwa sijui mbwa anapokufa na kuziwa huwa anazikwa na waumini gani wakati hasali?Huwa tunakutana nao wananiuliza habar za kubatiza Watoto wangu nawaambia akikua atabatizwa mwenyew halafu bila aibu wanasema vipi akifariki atazikwaje[emoji23][emoji23]
Nabaki kucheka kimya kimya yaani nisizike mwanangu[emoji24]
Wewe unachokijua kuhusu dini zao ni kipi kulikowalioanzisha dini zao?Usichokijua unawezaje kukitolea a short description kama hyo ya kwako??
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app