Ni muda wa kanisa katoliki kuongozwa na waafrika wanaoongoza kwa waumini na imani kuliko wazungu wanaozidi kutoamini Mungu

Uislam si dini ya maana, wacha kujidanganya.
Umaana wake ni upi kwako wewe muafikana ukiacha ukoo wa Islam wenye dini yao?

Huna haya kujipendekeza kwenye ukoo husio wako na kufuata imani ,dini,desturi,tamaduni,nk za kwao?

My friend rudi kwenye UAFRIKA wako wenye dini yako siyo ya ukoo wa Islam hiyo dini ni ya waarabu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa wapiii?
 
Kwani dini zao wazungu na waarabu ni zipi Mshana?

Wenye jina la MSHANA na mila zao ndiyo wenye dini ya asili yako kama walivyo wenye majina ya AYUB,JOHN,ISSA,HASSAN ndiyo wenye dini za asili za majina hayo
 
Hakuna dhambi wala makosa kwa viumbe alivyoumba MUNGU bali ni mitego waliyoileta wazungu kuwatisha WAAFRIKA na hakuna moto wowote dhidi ya viumbe wowote kama adhabu kama upo je mbwa watachomwa kwa dhambi ipi?
 
Mashoga yametupiga kichwani. Inakuwaje Papa aruhusu hili jambo!?
kimsingi binafsi litaniathiri sana kwenye imani yangu. Nitajikuta jpili badala ya kwenda kanisani nakwenda Bar....Beach Kidimbwi
Hata wavuvi wee nenda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papa shikilia hapo hapo, had wateme bungo.
 
Hiyo mara 1000, unayozungumia. Unapima kwa kutumia kigezo gani?( Kwasababu, sijawahi kusikia dini zetu zimefufua watu)
. Na wakati dini ya YESU imefanya hivyo mara nyingi.
Nani anakudanga binadamu anaweza kufufua binadamu mwenzie bwana tena mwafrikana aliyeacha asili yake?

Ingekuwa hivyo si kina Nyerere,Jomokenyata,Nkrma,Lumumba,nk wangefufuliwa?

Acha ujinga uliooitiliza kenge wewe

Hao wazungu wangeweza kufufuaxwatu siwangewafufua kina Estein,Darwin,nk
 
Uki
Yaani yeye ndo katengeneza mfumo mzima, mtu akiwa shoga ina maana yeye karuhusu, sasa kama ni kitu kibaya kwanini aruhusu kimpate mtu?

Mnasingiza nguvu za giza, Mungu si ndiye aliyeruhusu uwepo wa hizo nguvu? kila kitu ni kwasababu yake.
Ukiwa huna hela ndo ukaibe?
Mwili wako ukisikia hasira za kwenda kumpiga mtu panga au kumuua kisa katembea na mke wako ni halo?
The same thing ,
Biblia imeshajibu " aliyeshindwa kuzuia nafsi yake ,amekufa angali hai"
Biblia imekataza uzinzi
Imekataza kupiga nyeto
Imeorodhesha matendo ya mwili,ilijua kabisa mwili una matendo yake mabaya ,lakin imeyakataza.
Inamaana tunaamini MUNGU ni neno basi MUNGU ndo kayakataza
 
Nani kakudanganya katoliki ina amini Mambo ya Mungu?
Dini imejificha kwenye kivuli cha Mungu kuwahadaa wajinga ila haiamini Mungu
 
Serikali yetu ni katili sana Hivi inataka tulipe kodi kweli ?Wakati sisi ni machinga wadogo.
Hivi kwanini serikali haitupi hela inasema tufanye kazi.
Unajua Rais samia ana roho mbaya sana anakaa ikulu na anatembelea prado wakati kuna mwananchi hana hata hela ya kula.
Hivi serikali yetu imewafunga maelfu ya watu magerezani.....Nahis hii serikali haipendi raia,
Nafikiri sasa tumeelewana
 
1. Tunaiwekea bidii hiyo dini, imetupeleka wapi?

2. Hao mashoga, wasagaji na wanaobadili jinsia kama wanamchukiza Mungu sana, mbona anaruhusu uwepo wao?

haya ni maswali ya msingi unatakiwa ujiulize
Nilisoma kwenye Biblia;Kuna mkulima alipanda Ngano lakini adui akaja akampandikizia magugu kwenye ngano yake,wajakazi wake wakamwambia tuyotoe haya magugu mwenyeshamba akasema yaacheni yaote pamoja na ngano maana tukiyatoa tutaharibu ngano na akasema kuwa siku ya mavuno watatenganisha ngano na magugu, ngano itawekwa gharani Bali magugu kwenye moto (Yasijurudie a Gharika,Sodoma na Gomora)

Zingatia kuwa ni Kwa waaminio
 
Biblia inasema,dini iliyosafi ni kwenda kuwatazama yatima,wajane na maskini. Hao ikiwahudumia tayari umemwabudu Mungu. Utapeli na upigaji umejaa Kila Kona. Soma Bible ,sadaka wape maskini. Mbona utabarikiwa TU.
 
Waafrika wenyewe ndio akina Kitima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…