proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
there is no direct relationship between the object and its meaning.Je una uhakika kwamba sisi ni watu? Tuanzie hapo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
there is no direct relationship between the object and its meaning.Je una uhakika kwamba sisi ni watu? Tuanzie hapo kwanza
Mkuu, hili suala si la race ni la kisiasa na kimfumo. Mtu yoyote akitaka kuwa sehemu ya maendeleo ya dunia katika technolojia, Afya, Jamii, Historia njia nzuri ni kutafuta exposure na kuungana na wengine wenye hizo ndoto walio katika mfumo sahihi. Utashangaa jinsi utakavyofanya mambo mazuri na wewe ni mmakonde.Nina wasiwasi kati ya race na uwezo wa kifikra vinatofautiana.
Nahisi tunaabudu asiehusika na sieHuu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.
Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.
Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.
Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.
Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?
Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Kwanza kabisa hakuna mtu mweusi wala mweupe.Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.
Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.
Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.
Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.
Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?
Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Tunaogopa sana kufa ndio maana hatuendelei.Vita uchumi inahitaji umwagaji wa Damu, mapambano yenyew moyo wa dhati na wa kujitolea bila kukata tamaa. Sasa Bara letu hamna hilo.
Tatizo kubwa linaloisumbua Africa ni Ubinafsi na Kwa hakika hii Roho ya Ubinafsi (selfish )siku ikiondoka, Africa tutafanikiwa na tutapiga hatua kubwa sana
Tamaduni za kuogopa kuwatendea wenzio mabaya wachina wanazo kwa maelfu ya miaka kupitia mwalimu wao alie washape hivyo Confucius.Kiutamaduni ingekuwa vigumu sana kwa Waafrika kufanya mambo kama utumwa na ukoloni wa kiwango kilichofanywa na hao "watu weupe". Kwa sababu "mtu mweusi" anaishi kwa hofu ya supernatural forces, Mungu, mizimu, wahenga etc. Naturally, kabla hajawa corruoted, alikuwa ana morals za kuogopa kufanya mabaya kwa kiasi kikubwa.
Amesema nini ?Msikilize Mchungaji Mtikila Utaelewa
KweliMbona mchina, mhindi katawaliwa pia lakini wanapambana
Hahaaaaaaa duuuuDunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Ila inahitajika nguvu kubwa sana kubadilikaNa inawezekana.
Muulize SiroKabla ya kuja mkoloni wewe muafrica ulikuwa na nini cha maana zaidi ya kulala kwenye mapango na kitafuna mizizi....kusoma na kuandika kakufundisha mtu mweupe wewe ukuwa na maarifa yoyote hata yaekuunda stuli na meza ulikuwa unakunya porini unajipangusa na majani kama ngedere
HakikaTuna kila kitu ila penye miti hakuna wajenzi
Kwani hao wengine roho mbaya hawana au ni sisi pekee wenye hizo roho mbayaTuna roho mbaya kama ngozi zetu tuu
Inafikirisha sana hiiNina wasiwasi kati ya race na uwezo wa kifikra vinatofautiana.
So jamii za watu weusi kote duniani zina kosa hicho kitu ?Mkuu, hili suala si la race ni la kisiasa na kimfumo. Mtu yoyote akitaka kuwa sehemu ya maendeleo ya dunia katika technolojia, Afya, Jamii, Historia njia nzuri ni kutafuta exposure na kuungana na wengine wenye hizo ndoto walio katika mfumo sahihi. Utashangaa jinsi utakavyofanya mambo mazuri na wewe ni mmakonde.
So siasa pekee ndio zinatugharimuAfrica kila kitu siasa, kuanzia kutengeneza vyoo hadi kununua ndege ni siasa, kila kitu kinafanywa kwa interests za vyama na viongozi lakini si kwa maslahi ya wananchi.